safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,164
- 15,848
Laiti mwanamke angekuwa dhaifu kama wengi wanavyosema basi jukumu la kujazana katika ulimwengu lisingepenyezwa kwa mwanamke akawa anazaa na tunaongezeka.hili linadhihirisha kuwa mwanamke sio dhaifu.
Laiti kama mwanamke angekuwa dhaifu basi ingekuwa hakuna ndoa za uke wenza kwa baadhi ya tamaduni, lakini kutokana na uimara wao wanawake wanavumilia uke wenza na kufanya hili jambo liendelee.
Mwanaume hawezi hicho kitu ataua mtu kuona mkewe ana waume wawili, ujasiri huo kapewa mwanamke.
Kama ingekuwa mwanamke dhaifu basi kusingekuwepo na uchungu wakati wa kuzaa. Mungu amempa uchungu mwanamke kwa sababu anajua uimara wake na ataweza kustahamili.
Mwanamke angekuwa dhaifu asingeweza kulea watoto na kutizama familia. Jambo hili mwanaume linamshinda hawezi kamwe, lakini mwanamke atalea mtoto atapika huku vyombo viko jikoni na ufagio mkononi. Wamaume huwezi kufanya hivyo.
Kuna mengi yanamfanya mwanamke kuwa imara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Laiti kama mwanamke angekuwa dhaifu basi ingekuwa hakuna ndoa za uke wenza kwa baadhi ya tamaduni, lakini kutokana na uimara wao wanawake wanavumilia uke wenza na kufanya hili jambo liendelee.
Mwanaume hawezi hicho kitu ataua mtu kuona mkewe ana waume wawili, ujasiri huo kapewa mwanamke.
Kama ingekuwa mwanamke dhaifu basi kusingekuwepo na uchungu wakati wa kuzaa. Mungu amempa uchungu mwanamke kwa sababu anajua uimara wake na ataweza kustahamili.
Mwanamke angekuwa dhaifu asingeweza kulea watoto na kutizama familia. Jambo hili mwanaume linamshinda hawezi kamwe, lakini mwanamke atalea mtoto atapika huku vyombo viko jikoni na ufagio mkononi. Wamaume huwezi kufanya hivyo.
Kuna mengi yanamfanya mwanamke kuwa imara.
Sent using Jamii Forums mobile app