Mwanamke SHANGINGI...............


dah..makunyuuu tena? lol
 

Hapo kwenye blue, ukiona post za nyuma ndio kitu kimenisukuma kujibu hayo majibu uloyaona, nadhani hujasoma post tokea mwanzo ili uone jinsi "Waswahili" walivoshambuliwa na kubezwa, kuna mmoja amesema mashangingi yapo uswahilini, mwengine akasema vibaka wapo uswahilini.

Mimi kama MSWAHILI PURE ! kweli limenigusa kwa sababu nimekulia huko uswahili (Kariakoo) na kulikuwa hakuna hizo tabia ! tulikuwa na mila na desturi zetu za Kiswahili ambazo ndio zimetulea na kutufikisha hapa tulipo! Mapenzi na uungwana kwa yeyote yule awe mswahili mwenzio au mgeni !

Na nina hakika, umejibu post hii baada ya kuona "Mswahili" mimi nikijaribu pia kuelezea hisia zangu juu ya jinsi ustaarabu wetu wa Kiswahili ulivoingiliwa na makabila tofauti.


Na naweza kutolea mfano, zamani Waingereza walikuwa na mila na desturi zao! hili halipingiki, lakini sasa hivi na wenyewe wanalalama kuwa wameingiliwa na watu wa aina tofauti na kuziua kabisa tamaduni zao!

Na hapo katika nyeusi, nadhani huko uswahilini Kariakoo na magomeni mpaka Ilala (HAILALLAH) kila mtu anataka awe na nyumba sasa hivi maana HAPAKAMATIKI! kwa hilo tunashukuru Mungu sisi tuloachiwa vijijumba vichache baada ya vingine kuuzwa kwa kuogopa kutaifishwa na nyerere na azimio lake la arusha....

KAma ulivosema tusichakachue huu uzi...mada ni mashangingi.
 
Mfano mzur wa shangingi ni yule mdada alieshrikishwa kweny nyimbo ya msanii A.T(VIFUU TUNDU).maana maneno yao yanafanana sn ya huy mdada coz yamekaa kipashupashu!"mwanamke mbeya utamjua tu mdomo wake, mweusiiii km kunguru"."umeona wap nyumba ya udongo ikapigwa deki,inahu...!!!horii weeee!!!"
 
ni mmama au mdada mwembamba/mnene, anayependa kujiweka soap soap, mjanja mjanja, huwezi kumlaghai kirahisi, mchesi

anaependa kwenda na wakati, anapenda vitu vizuri, anauwezo wa kuongea na yeyote, bila hofu yoyote kwa kifupi wana confidence sana. anaweza kuwa malaya au sio malaya itategemea mapenzi yake kuhusu ngono
 
unaweza sema ni ma sista duu
why?kwa sababu masista duu wana sifa ya maringo na kuchagua watu
while mashangingi wanajichanganya sana...so yes....

kwa maana hiii mashangingi ni watu wema kuishi nao
 
inawezekana shangingi anakuwa na tabia za zaidi ya umalaya wa kawaida - labda u-tigo ndani!
 
tajeni sifa zao halafu niingie kitaani na mimi niopoe Shangingi.Nalog off
 

ni kama unasema a confident woman ndio shangingi?????
 
The Boss, shangingi huwezi kumpata kwa definition. Utamjua kwa lifestyle yake. Na sio tendo moja au mbili, ni sequence fulani ya matendo, namna yake ya kusema, ya kucheka, ya kufikisha habari, ya kureact akishangaa, akifurahi, akichukia etc.
Kwa hiyo ushangingi ni lifestyle... ngumu kuidefine kwa kweli.
Njoo huku mabaoni niku-introduce kwa ulimwengu huo uwaone. lol
 
Mashangingi yana nyama hayo!!gemu lao ni noma..wako vizuri sana kumfulaisha mwanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…