Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

The One and Only Kasie, how lovely the way you remixed the "Katikaaa"...!


Keep smiling..!

Thanks for the compliment, jina lako limenikumbusha huu wimbo....



Iva iva iva ooohhh.... resembles Iza.
 
  • Thanks
Reactions: Iza
Jamani my bibi kasie i miss you so much...jamani unanikoshagaaa sana babu yangu daby umemficha wapi ngoja nimuite ajeaone hayo mauno ya kizeee

Ama kweli ng'ombe hazeeki maini...
Daby

Hello nipoo majukumu tuu yananisonga ila nikipata wasaa ndo kama hivi weekend yangu ilianza tangu jana jumatano ni mwendo wa kukatika tuu...

Daby anajiandaa na kampeni za 2020 ndo maana humuoni ila hajambo ntamfikishia salamu.

Kwenye kukatika tuu acha, maini yataendelea kuwa mabichii bin machanga hakuna kuzeeka hehehehheee

Katikaaakatiika katikaakatikaa.
 
Katikaaakatiika katikaaktaiiika....CHUPI HUWA HAIJAWAHI MWACHA mtuu yeyote salamaaa Katikaaakatiika katikaaktaiiika....
Hahahahahahaaa jamanii chupi inahusianaje na kukatikaa. Nyonga ndo mpango mzima, sasa uwe umevaa nguo inayoshika kiuno yeebaah inanogajee
Katikaaakatiika katikaaktaiiika
Katikaaakatiika katikaaktaiiika
 
Hili li shangazii nalikubaligi, Hivi unaumri gani? lakini poa sio kitu..naile ya kuchezesha tako moja unaweza?

Weeh mtoto,shangazi yako unaanzaje kumkodolea macho akiwa anakata mauno, utapofuka macho. Nenda kalale mambo ya wakubwa haya looh.

Number 48 accompany me to the end of the year.
 
Mi sijawahigi kuonja bibi kama yupo tayari aje pm tuyajenge nipate exposure plus exprience
 
Bibi naomba niwe ki Ben10 chako,usiogope kuhonga,Mimi kiben10 mwenyepesa zake.Nataka tu utamu wakizee



Haya katikaaa kataaaa

Malizana kwanza na utamu wa rika lako, ukifika miaka 50 ndo uje tusemezane.
 
Weeh mtoto,shangazi yako unaanzaje kumkodolea macho akiwa anakata mauno, utapofuka macho. Nenda kalale mambo ya wakubwa haya looh.

Number 48 accompany me to the end of the year.
Kumbe bado kijana 48 ni wakati wako ringa bibiee
 
akili yako unaijua mwenyeweee

Hahahahahahaaa yaani sio siri, saa ingine hata mie mwenyewe sijielewi......
Kuna central system kichwani I kisha amka inakuwa yenyewe hadi ichoke ndo narudi kawaida.

Yaani hata sichoki, Katikaaakatiika katikaakatikaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom