Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,530
- 81,257
Kasie Mahabati
Mungu alinikatili hapo kwenye nyonga
Kiuno hakitikisiki nimejaribu mpaka kwa kungwi ikawa bila bila
Good for you Kasie
Hahahahahahaaa ukimfahamu Kasie hutokuwa wa na shaka nae hata kidogo.
Hahahahah wewe kama mie ingawa bado binti ila nakatika sana
Nacheza miziki yote kasoro vogodolo
Dancehall reggae blues bongoflava etc usiseme,inshort nakata mauno sana
Mwanamke nyonga bana hahahahah
Write your reply...mwanaume anaweza kujua kama mdada yupo kwenye mood ya kufanya tendo la ndoa kwa kumwangalia tuu usoni
Kuangusha mbuyu ni mojawapo ya shughuli za mwanaume rijali.
duh aise mnisaidie sijaelewa ni nini hicho ushairi au riwaya au tamthiliya? ila kama una uno kama boko kazi unayo kwenye kukatika mana utakata tumbo badala ya uno ila wale wenye uno la nyigu hapo wanateleza tuu shwaaa....!
😂😂😂😂😌 khaaYani huyu bibi anawazaga ngono tu
akili yako unaijua mwenyeweeeAbeeh, nimefanyajeee
Bibie nyonga unayo lakini, usije kuwa na shepu za akina pandya af unanadi unenguaji