Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

Bibie nyonga unayo lakini, usije kuwa na shepu za akina pandya af unanadi unenguaji
 
The One and Only Kasie, how lovely the way you remixed the "Katikaaa"...!


Keep smiling..!
 
Hahaha..mtake radhi Kasie Mahaba

Hi Darmian,

Naendeleza dansi....
Ananizinguaga eeh eeh eeh eeh
Nami napendaga Ooh Ooh Ooh Ooh
Katikaaakatiika katikaa

Kasie Mahaba Mia Mia.
 
Jamani my bibi kasie i miss you so much...jamani unanikoshagaaa sana babu yangu daby umemficha wapi ngoja nimuite ajeaone hayo mauno ya kizeee

Ama kweli ng'ombe hazeeki maini...
Daby
 
hii ndio katika yenyewe

Hahahahahahaaa looh hatarii
Hayo mauno ya PhD akati mie nna degree tuu heheheee.

Ila binti yuko vizuri anajituma amezitendea haki nyonga zake, mwanamke nyongaa.

Katikaaakatiika katikaakatikaa heheheee
 
Katikaaakatiika katikaaktaiiika....CHUPI HUWA HAIJAWAHI MWACHA mtuu yeyote salamaaa Katikaaakatiika katikaaktaiiika....
 
Wewe ni mimi wa miaka 20 mbele,hata nikizeeka sitajali ili mradi kukatika kupo damuni basi ntakatika mpaka kiuno kiitike abeeee hehehhee

Kamekazika ndiiii ndiiiiii hahha

Mziki mtamu banaa acha kabisa, mie sijuiagi kujibana inapokuja suala la mziki.

We live once mdogo wangu baada ya kufanya majukumu mengine ya maisha kazi ni moja tuu..... katiiikakatikaaa katikaakatikaa. ....
Na hukk nyuma kuko bwiibwiibwiii hehehehehee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom