Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

Mimi huyoooo, Kasinde wa Matata nilijiita wife material..... mmmhh nachelea kusema huyo alikuwa anayeninakili na si Kasie mie.

Na labda hukuwa unafahamu, Kasie hana mpango wa kuolewa wala hatafuti mume. Am just enjoying life the way it comes ......

Si ulisema kuna jamaa amejiweka kwako ,and he is crazy for you?
 
Ndo mana huzeeki kama yule mzee wa msoga

Hhahahahahha namshukuru sana Mungu kuniumba na tabasamu la asilia, linaniondolea makandokando mengi mnoo ikiwemo kuzeeka haraka.

Shukria Manchoso.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom