Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,762
- Thread starter
- #61
Nina uhakika asilimia 100 ni damu yangu?Tabu ilianzia hapa...
By the way una uhakika gani huyo mtoto ni wako?
Nina uhakika asilimia 100 ni damu yangu?Tabu ilianzia hapa...
By the way una uhakika gani huyo mtoto ni wako?
Sioni kwa sasa.Hilo n chaguo lakoo mkuu yaan usimwachee mnaendanaaa...
NitajaribuMpe muda mkuu, inaonekana anapitia changamoto za malezi mtoto...
Kaa naye muulize kwa upendo tatizo ni nini, yawezekana wewe pia ni tatizo...
Una Una uhakikaHuyo mtoto sio wako. Naona anakosa namba ya kukuambia, anaongea kwa vitendo.
Damu ya umalaya ndo inakusumbueni.Analea
Ulilazimsha kurudiana naye, kama mmeachana unarudi kuvumbua nini, huenda kipindi mpo mbali alipata mwingine sasa akili yote ipo kwakeTwende kwenye mada naomba ushauri wa uhakika.
Miaka minne iliyopita nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ila hatukufanikiwa kudumu mara baada ya mimi kuzuia mahusiano hayo Pasi na sababu ya msingi.
Mwaka Juzi mimi niliforce kurudia tena na huyo binti na kweli alikubali tukawa kwa serious relationship ikaja kutokea amepata ujauzito na nikamwambia azae na ikawa hivyo.
Baada ya kujifungua kwa sasa tunamwaka mmoja ila changamoto kwenye mahusiano yetu ni kama ifuatavyo.
Mwenzangu kununa muda wote.
Hakubali kumaliza jambo hata liwe dogo.
Ana kinyongo hali inayopelekea kunyimwa tendo la ndoa hata kwa mwezi.
Sio mtu ambaye mnaweza mkaa mkapanga mipango ya maisha.
Hana inferiority complex na wala hajiongezi kwa kidogo.
Kiukweli Tabia nyingi hakunionyesha tulivyokuwa kwa mahusiano ya kawaida ila ndo ananionyesha sasa.
Kiukweli Nimetokea kumchukia sana ,nimekuwa mtu wa kumchit na simjali tena.
Kiukweli natamani kumwacha ila namuonea huruma mtoto mdogo niliyezaa nae.
Namalizia sio kwamba sina madhaifu ninayo tena makubwa sana.
USHAURI wenu wakuu?
Mwache ale alipopeleka mbogaKilichosababisha ulazimishe kumrudia ni kipi wakati ni wewe ndio ulivunja mahusiano ya mwanzo?
Yeye ndo anatamani akuache sema tu ulijiongeza kupanda mbegu so akiwaza masingo maza wanavyochakatwa kimasihara kwa dau dogo....anasonya Anaona umemtoa sokoni.Twende kwenye mada naomba ushauri wa uhakika.
Miaka minne iliyopita nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ila hatukufanikiwa kudumu mara baada ya mimi kuzuia mahusiano hayo Pasi na sababu ya msingi.
Mwaka Juzi mimi niliforce kurudia tena na huyo binti na kweli alikubali tukawa kwa serious relationship ikaja kutokea amepata ujauzito na nikamwambia azae na ikawa hivyo.
Baada ya kujifungua kwa sasa tunamwaka mmoja ila changamoto kwenye mahusiano yetu ni kama ifuatavyo.
Mwenzangu kununa muda wote.
Hakubali kumaliza jambo hata liwe dogo.
Ana kinyongo hali inayopelekea kunyimwa tendo la ndoa hata kwa mwezi.
Sio mtu ambaye mnaweza mkaa mkapanga mipango ya maisha.
Hana inferiority complex na wala hajiongezi kwa kidogo.
Kiukweli Tabia nyingi hakunionyesha tulivyokuwa kwa mahusiano ya kawaida ila ndo ananionyesha sasa.
Kiukweli Nimetokea kumchukia sana ,nimekuwa mtu wa kumchit na simjali tena.
Kiukweli natamani kumwacha ila namuonea huruma mtoto mdogo niliyezaa nae.
Namalizia sio kwamba sina madhaifu ninayo tena makubwa sana.
USHAURI wenu wakuu?