Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,762
USHAURI wenu wakuu?
Kilichosababisha ulazimishe kumrudia ni kipi wakati ni wewe ndio ulivunja mahusiano ya mwanzo?Twende kwenye mada naomba ushauri wa uhakika.
Miaka minne iliyopita nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ila hatukufanikiwa kudumu mara baada ya mimi kuzuia mahusiano hayo Pasi na sababu ya msingi.
Mwaka Juzi mimi niliforce kurudia tena na huyo binti na kweli alikubali tukawa kwa serious relationship ikaja kutokea amepata ujauzito na nikamwambia azae na ikawa hivyo.
Baada ya kujifungua kwa sasa tunamwaka mmoja ila changamoto kwenye mahusiano yetu ni kama ifuatavyo.
Mwenzangu kununa muda wote.
Hakubali kumaliza jambo hata liwe dogo.
Ana kinyongo hali inayopelekea kunyimwa tendo la ndoa hata kwa mwezi.
Sio mtu ambaye mnaweza mkaa mkapanga mipango ya maisha.
Hana inferiority complex na wala hajiongezi kwa kidogo.
Kiukweli Tabia nyingi hakunionyesha tulivyokuwa kwa mahusiano ya kawaida ila ndo ananionyesha sasa.
Kiukweli Nimetokea kumchukia sana ,nimekuwa mtu wa kumchit na simjali tena.
Kiukweli natamani kumwacha ,ila namuonea huruma.mtoto mdogo niliyezaa nae.
Namalizia sio kwamba sina madhaifu ninayo tena makubwa sana.
USHAURI wenu wakuu?
Tupe hayo madhaifu yako ili tuone shida ipo wapiNamalizia sio kwamba sina madhaifu ninayo tena makubwa sana.
USHAURI wenu wakuu?
Nyege hizo tafuta mchepuko uflash kichupaTwende kwenye mada naomba ushauri wa uhakika.
Miaka minne iliyopita nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ila hatukufanikiwa kudumu mara baada ya mimi kuzuia mahusiano hayo Pasi na sababu ya msingi.
Mwaka Juzi mimi niliforce kurudia tena na huyo binti na kweli alikubali tukawa kwa serious relationship ikaja kutokea amepata ujauzito na nikamwambia azae na ikawa hivyo.
Baada ya kujifungua kwa sasa tunamwaka mmoja ila changamoto kwenye mahusiano yetu ni kama ifuatavyo.
Mwenzangu kununa muda wote.
Hakubali kumaliza jambo hata liwe dogo.
Ana kinyongo hali inayopelekea kunyimwa tendo la ndoa hata kwa mwezi.
Sio mtu ambaye mnaweza mkaa mkapanga mipango ya maisha.
Hana inferiority complex na wala hajiongezi kwa kidogo.
Kiukweli Tabia nyingi hakunionyesha tulivyokuwa kwa mahusiano ya kawaida ila ndo ananionyesha sasa.
Kiukweli Nimetokea kumchukia sana ,nimekuwa mtu wa kumchit na simjali tena.
Kiukweli natamani kumwacha ,ila namuonea huruma.mtoto mdogo niliyezaa nae.
Namalizia sio kwamba sina madhaifu ninayo tena makubwa sana.
USHAURI wenu wakuu?
Tatizo linaanza hapa, anyway na wewe anza kubadili tabiaMwaka Juzi mimi niliforce kurudia tena na huyo binti
Unataka ushauri gani hapo juu umesema hutaki kumuacha sababu mtoto mdogo atateseka...? Vumilia ndio lako hilooooTwende kwenye mada naomba ushauri wa uhakika.
Miaka minne iliyopita nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ila hatukufanikiwa kudumu mara baada ya mimi kuzuia mahusiano hayo Pasi na sababu ya msingi.
Mwaka Juzi mimi niliforce kurudia tena na huyo binti na kweli alikubali tukawa kwa serious relationship ikaja kutokea amepata ujauzito na nikamwambia azae na ikawa hivyo.
Baada ya kujifungua kwa sasa tunamwaka mmoja ila changamoto kwenye mahusiano yetu ni kama ifuatavyo.
Mwenzangu kununa muda wote.
Hakubali kumaliza jambo hata liwe dogo.
Ana kinyongo hali inayopelekea kunyimwa tendo la ndoa hata kwa mwezi.
Sio mtu ambaye mnaweza mkaa mkapanga mipango ya maisha.
Hana inferiority complex na wala hajiongezi kwa kidogo.
Kiukweli Tabia nyingi hakunionyesha tulivyokuwa kwa mahusiano ya kawaida ila ndo ananionyesha sasa.
Kiukweli Nimetokea kumchukia sana ,nimekuwa mtu wa kumchit na simjali tena.
Kiukweli natamani kumwacha ,ila namuonea huruma.mtoto mdogo niliyezaa nae.
Namalizia sio kwamba sina madhaifu ninayo tena makubwa sana.
USHAURI wenu wakuu?
duu mbona mnazidi kumkondeshaKabichi halipashwagi..
Duu watu mnajua kunukuuTatizo linaanza hapa, anyway na wewe anza kubadili tabia
Hivi huyo mtoto ni wa kwakeUnataka ushauri gani hapo juu umesema hutaki kumuacha sababu mtoto mdogo atateseka...? Vumilia ndio lako hiloooo
Kitanda.....!! Labda amethibitisha ni wake...antafutie kitu cha kufanya binti ana wivu na gubu sababu jobless kunachosha....atoke asemeshwe atachangamkaHivi huyo mtoto ni wa kwake
"The worse prison in the world is home without peace, be very careful of whom you enter into marriage."Twende kwenye mada naomba ushauri wa uhakika.
Miaka minne iliyopita nilibahatika kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ila hatukufanikiwa kudumu mara baada ya mimi kuzuia mahusiano hayo Pasi na sababu ya msingi.
Mwaka Juzi mimi niliforce kurudia tena na huyo binti na kweli alikubali tukawa kwa serious relationship ikaja kutokea amepata ujauzito na nikamwambia azae na ikawa hivyo.
Baada ya kujifungua kwa sasa tunamwaka mmoja ila changamoto kwenye mahusiano yetu ni kama ifuatavyo.
Mwenzangu kununa muda wote.
Hakubali kumaliza jambo hata liwe dogo.
Ana kinyongo hali inayopelekea kunyimwa tendo la ndoa hata kwa mwezi.
Sio mtu ambaye mnaweza mkaa mkapanga mipango ya maisha.
Hana inferiority complex na wala hajiongezi kwa kidogo.
Kiukweli Tabia nyingi hakunionyesha tulivyokuwa kwa mahusiano ya kawaida ila ndo ananionyesha sasa.
Kiukweli Nimetokea kumchukia sana ,nimekuwa mtu wa kumchit na simjali tena.
Kiukweli natamani kumwacha ila namuonea huruma mtoto mdogo niliyezaa nae.
Namalizia sio kwamba sina madhaifu ninayo tena makubwa sana.
USHAURI wenu wakuu?
Ye kashawaka si umeona anasema ameanza kumcheat. Yaani hapo wamekutana.Tatizo linaanza hapa, anyway na wewe anza kubadili tabia