Ona huyuu nae!!!Usamehewe bure kabisa maana mama yako pia ni mwanamke.
Jidanganye Amna mwanamke anayempenda mwanaumee!!!Wanawake ni muhimu sana kwa Mwanaume na jamii yote kwa ujumla, kama kuna ambaye umekosana naye si wote, ni kama unavyokosana na Wanaume wenzako. Ukipata mwanamke akakupenda utahisi unaishi peponi. ila ikiwa bahati mbaya inabidi utafute suluhisho.
Karata zote tunazokutana nazo zimeshatumikaHamna lolote hayo ya tamaa sijui kupenda mteremko yapo kila upande mkuu.
Kwa hili umenifanya nikumbuke kale kausemi ka kila mwamba ngoma lazima avutie kwake ila ukweli nyie ndio wachakazaji.
Yaani hamjui kudumu na hizo karata.
Huu msemo tuu ..usikupe kichwaUkiona chann wenzio wanasema watakipata lini