Mwanamke ni kama bunda la karata

Mwanamke ni kama bunda la karata

kadovela

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2016
Posts
471
Reaction score
679
Mwanamke ni kama bunda jipya la karata. Pindi linapokuwa jipya linakuwa dogo lenye mkusanyiko wa kadi nyingi zilizonyooka vizuri, safi zenye kuvutia zinapendeza macho na kuvutia wachezaji kiasi cha kupenda kuzichezea muda wote bila kuchoka.

Bunda la karata ili lidumu kwa muda mrefu katika ubora wake wa awali lazima liwe na wachezaji kwanza wachache na maalum ambao kwa kuzipenda wapo tayari kuzichezea kwa ustaarabu ili zisiharibike wala kupoteza mvuto.

Tatizo linakuja pale bunda la karata linapoanza kuchezewa na watu wengi muda si mrefu bunda linachakaa na kuvumbia kiasi cha kushindwa hata kuingia kwenye box lake lenyewe zilimotoka, zinapoteza mvuto kuzichezea tena, kadiri ya siku wachezaji wanapungua mwisho wa siku zinaishiwa kutupwa au kuwashia moto maana hazina thamani tena watu wanatafuta bunda jipya la karata na maisha yanaendelea.

Happy boxing day karibuni tucheze last card hapa.
 
Mkuu kuwa na heshima kwa wanawake...nani ambaye hajaletwa na mwanamke hapa duniani? kwa nin uwafananishe na box la karata? Mama yako ni box la karata? stupid mind...
kaka kama unaelewa maana ya parable basi huna sababu ya kuhisi kuwa sina heshima kwa wanawake. kinyume na hapo nisamehe bure na mods ikiwezekana wafute uzi na hata ban nipigwe kama nastahili. siku njema
 
mwanamke ni kama bunda jipya la karata. pindi linapokuwa jipya linakuwa dogo lenye mkusanyiko wa kadi nyingi zilizonyooka vizuri, safi zenye kuvutia. zinapendeza macho na kuvutia wachezaji kiasi cha kupenda kuzichezea muda wote bila kuchoka. bunda la karata ili lidumu kwa muda mrefu katika ubora wake wa awali lazima liwe na wachezaji kwanza wachache na maalum ambao kwa kuzipenda wapo tayari kuzichezea kwa ustaarabu ili zisiharibike wala kupoteza mvuto. tatizo linakuja pale bunda la karata linapoanza kuchezewa na watu wengi muda si mrefu bunda linachakaa na kuvumbia kiasi cha kushindwa hata kuingia kwenye box lake lenyewe zilimotoka, zinapoteza mvuto kuzichezea tena, kadiri ya siku wachezaji wanapungua mwisho wa siku zinaishiwa kutupwa au kuwashia moto maana hazina thamani tena watu wanatafuta bunda jipya la karata na maisha yanaendelea. happy boxing day karibuni tucheze last card hapa.

Kila kukicha kazi ku discus wanawake pumbavu sana mfiuuuuuuuu
 
Haya bhana,ila ukweli ni huu mwanamke anaweza kuwa choka kwako ila kwa mwenzio ndio kapata wa maisha...na ninachoamini Mimi mwanamke anaweza akatumia kuchezewa sana na akatumia kama somo na kuwa bora kuliko hao wapya wa kwenye karatasi...
Wanadamu tumeubwa kubadilika
...unaweza mchezea Leo kwa vile ni single na usione umaana wake ila siku akichukulialwa na mtu halafu wakathaminiana ndio utajuta na kuanza kutafuta namba yake. Hapo ndio ataku-dedicate na wimbo wa, "twenty five minutes too late"
 
mwanamke ni kama bunda jipya la karata. pindi linapokuwa jipya linakuwa dogo lenye mkusanyiko wa kadi nyingi zilizonyooka vizuri, safi zenye kuvutia. zinapendeza macho na kuvutia wachezaji kiasi cha kupenda kuzichezea muda wote bila kuchoka. bunda la karata ili lidumu kwa muda mrefu katika ubora wake wa awali lazima liwe na wachezaji kwanza wachache na maalum ambao kwa kuzipenda wapo tayari kuzichezea kwa ustaarabu ili zisiharibike wala kupoteza mvuto. tatizo linakuja pale bunda la karata linapoanza kuchezewa na watu wengi muda si mrefu bunda linachakaa na kuvumbia kiasi cha kushindwa hata kuingia kwenye box lake lenyewe zilimotoka, zinapoteza mvuto kuzichezea tena, kadiri ya siku wachezaji wanapungua mwisho wa siku zinaishiwa kutupwa au kuwashia moto maana hazina thamani tena watu wanatafuta bunda jipya la karata na maisha yanaendelea. happy boxing day karibuni tucheze last card hapa.
Uchambuz wako noma sana.
 
Sasa hapo chanzo cha kuharibu ilo bunda la karata ni nani. Sababu nyie ndio mmejaa ulaghai na sio waoaji ukiwa na huyu leo kesho unatafuta mwingine hamuoni kwamba nyie ndio chanzo cha kuchakaza hizo karata

Muwe mnatulizana basi na kuridhika na mmoja angalau hizo karata zisichakae.

Leo mwanamke kawa bunda la karata. Lol
 
Mkuu kuwa na heshima kwa wanawake...nani ambaye hajaletwa na mwanamke hapa duniani? kwa nin uwafananishe na box la karata? Mama yako ni box la karata? stupid mind...

Yaan more than stupid wanakaz ya kutoa puvu juu yetu mnapenda kutukandamiza sana na kutuongelea vibaya mbona nyie hamsemi yenu shain mkubwa ww
 
parable of sower, parable of prodigal son, parable of wise women and stupid women. hii ni parable tu jamani lengo ni kufunza kama kuna mtu kanitafsiri vibaya please mods naomba muufunge huu uzi
 
Kwahyo! Mambo mengine bhana kwa taarifa yako uchi wa mwanamke hauchachi wala hauchoki ng'ooooo hata watie wanaume 1000.
 
Sasa hapo chanzo cha kuharibu ilo bunda la karata ni nani.

Sababu nyie ndio mmejaa ulaghai na sio waoaji ukiwa na huyu leo kesho unatafuta mwingine hamuoni nyie ndio chanzo cha kuchakaza hizo karata

Muwe mnatulizana basi na kuridhika na mmoja angalau hizo karata zisichakae.

Leo mwanamke kawa bunda la karata. Lol
 
Mfano mbovu sana huu! Kwanza kabisa karata huchezwa na mtu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Si wanawake wote huchezewa na watu tofauti at a go. Mkuu jaribu kuwa na staha basi.
 
Sasa hapo chanzo cha kuharibu ilo bunda la karata ni nani. Sababu nyie ndio mmejaa ulaghai na sio waoaji ukiwa na huyu leo kesho unatafuta mwingine hamuoni kwamba nyie ndio chanzo cha kuchakaza hizo karata

Muwe mnatulizana basi na kuridhika na mmoja angalau hizo karata zisichakae.

Leo mwanamke kawa bunda la karata. Lol
Sio kwel nyie wanawake hususani wa karne hii ndo mnashida... MNA tamaa sana .mnapenda mteremko ndo maana mnatumiwa na kuachwa yan mnatanguliza maslahi mbele ..mwisho wa siku mnatumiwa mnaachwa
 
Back
Top Bottom