Salute You, Comrade.
Tunaosoma between Lines tumeelewa. Uzi wako umekaa kifasihi sana. Kama ulikimbia umande hutoambulia kitu.
Pia mleta mada ni mbaguzi wa IQ. Kama IQ yako ni moderate, profound au severe basi hutoambulia kitu. Utaishi kumtusi mleta mada bure kumbe tatizo liko kwako Mfasiri/ Mtafsiri na siyo mwandishi. Ipo falsafa moja inasema "Tatizo siyo mwandishi, tatizo ni mtafsiri".
Correlation is not insane. Kuandika kiunganishi "Ni kama" ndiko kusema mwandishi kawatusi wanawake?, hana adabu na kadhalika?. Kwani kazi za Tamathali za semi ni zipi?.
Kuna msanii (Roma Mkatoliki) aliimba "Wanawake ni kama vocha, huwajui mpaka uwakangue", Je BASATA haikuliona hilo?. Jibu ni kwamba waliliona na wanafahamu kazi za sanaa. Ule ubeti siyo tusi kwa wanawake. Ndivyo kazi za fasihi zitutakavyo.
Mwanabodi
nasssen , hakuna wanawake wanaochezewa na mwanaume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja?.
kimange naye anadai hukuwashauri. Je ndani ya bandiko hakuna ushauri?. Msomaji aende extra mile. Ushauri kwa wanawake umefichwa ndani ya Karata mpya. Ajitunze, asikubali kuchezewa na ajiheshimu pia.
karibuni. Tudodose na kusailiana.