Mwanamke na kufika kileleni

Mwanamke na kufika kileleni

Furahia ujana wako mama, vilele wanavifika wenzio huko ujanani, wakifika ule umri wa makwazo makuu (ambapo tarehe zenye umuhimu zinapungua sana zinabakia za anniversary na birthdays za watoto tu), hicho kilele utakuwa unakiona kile paleeeeee lakini hukifikii hata ukivutwa na winchi! Basi unakuwa unapanda nusu kilima, unashuka. Ukijaribu tena inakuwa robo kilima, miguu inachoka, unakata tamaa unajirudia zako kwenye tambarare unajilaza na mwenzio mnasimuliana mambo yenu ya mwaka 47, na kausingizi hakoooo kanawabeba hadi ng'ambo ya pili penye ndoto murua, mara unaota umebeba kajukuu, mara unaota mwanao eti kawa profesa, nk. Alarm inalia kuashiria 'wake up' time, chumba kinageuka ofisi immediately mnaanza kuulizana ushauri kuhusu mambo ya ofisini kwenu, hayo mtaendelea nayo hadi kwenye breakfast table, kwenye gari mkielekea kazini, na mkifika ofisini kila mtu anamsahau mwenzie hadi mtakapokutana tena jioni kupeana michapo ya yaliyojiri. Kilele cha mlima? Hakuna anayeulizia. Inakuwa usiku inakuwa asubuhi, na kuendelea na kuendelea.

Panda kilima hadi miguu itakapogoma, hata kama unabaki kinywa wazi, kabla hazijaja siku za kulala bondeni.
 
Jamani mi nataka kujua kama na nyinyi huwa mnaachama pale mfikapo........

Style ya Da Sophy na DDD ni ipi tena? hebu nijuzeni mie
kama hii yakwako! hahahaa!!
wapi The finest, RoyaRoy.......mutu ya samaki!
 
moz-screenshot-8.png
moz-screenshot-9.png
https://www.jamiiforums.com/members/the-finest.html Bado tunapandaaaa, tunapanda milimaa aah!! Join DateWed Jul 2010Posts3,086Thanks849Thanked 562 Times in 448 Pos
 
Kuna kitu nataka nikiseme ila najua nikisema tu mods watanitembezea BAN
Bado Ninakuhitaji tafadhali...usizichezee filingi zangu......kisa na mkasa wa kutafuta BAN ni nini? Kwa mwanaume wa shoka kupewa BAN ni aibu, BAN yafaa uiombe mwenyewe amah!!utaniuzi
 
Bado Ninakuhitaji tafadhali...usizichezee filingi zangu......kisa na mkasa wa kutafuta BAN ni nini? Kwa mwanaume wa shoka kupewa BAN ni aibu, BAN yafaa uiombe mwenyewe amah!!utaniuzi

Acid na Teamo wakisoma hapa usinitafute kwenye usuluhishi. Vita vingine ni vya kujitakia walah
 
Bado Ninakuhitaji tafadhali...usizichezee filingi zangu......kisa na mkasa wa kutafuta BAN ni nini? Kwa mwanaume wa shoka kupewa BAN ni aibu, BAN yafaa uiombe mwenyewe amah!!utaniuzi

Dah!!! Acha tu sijui kwanini ninakuwa nina hasira sana ila nahisi ni sababu ya huu uchakachuaji wa kura nahisi hadi utendaji wangu wa kazi umepungua itabidi nijaribu kufungua chumba muda si mrefu nione kama bado perfomance yangu iko up to standards sema kila wakisoma matokeo ya chama changu cha DOVUTWA UPDP dah perfomance inazidi kupungua
 
Bigrita mi napenda kichwa tuuuu....tena mpishi asahau kutoa jicho moja[/QUOTE]

whaaaaaaaaaat:doh:

halafu mama Big kwa pembeni kushoto kwenye post yako kuna kibatani cha "thanks' hebu do ze nidiful,, madamu ni Mgeni najitolea kukupa tutorial ya namna ya kutumia JF effectively

KWenye chama najua autoimatikale wewe mwenzetu
 
sasa big mama mwambie asirudie kupanda tena na kama atalazimishwa akifika katikati arudi nyuma na kama watamkatalia akashitaki tume ya haki za binaaadamu:yield:
 
sasa big mama mwambie asirudie kupanda tena na kama atalazimishwa akifika katikati arudi nyuma na kama watamkatalia akashitaki tume ya haki za binaaadamu:yield:

Unajua mazowezi ni jambo muhimu sana kwa binadamu hasa yanasaidia katika kutoa jasho...xyxyzzzz zile kama maziwa.....nikimwambia aache si ntakuwa namnyima haki yake ya msingi jamani
 
Unajua mazowezi ni jambo muhimu sana kwa binadamu hasa yanasaidia katika kutoa jasho...xyxyzzzz zile kama maziwa.....nikimwambia aache si ntakuwa namnyima haki yake ya msingi jamani

Saasa,saaaaasaa ni saaaaaaaaaa ya kwenda kwetu..............lol!!
 
Back
Top Bottom