Mwanamke na kufika kileleni

Mwanamke na kufika kileleni

Ni kweli kabisa tafiti zisizo rasmi zinaonyesha wananwake wengi hawafiki kilelen. Ukweli ni kwamba kuna mambo mengi yanayosababisha wanawake wasifikie kileleni na hatuwezi ya kuyaeleza yote. Kwanza wanawake wenyewe walio wengi hawajui kilele ni nini, hawajui wanapaswa kufanyaje au kufanwyaje ili wafike kilele. Hivyo wanawake pia wanahitaji kupata elimu ya kutosha kujua ni nini wafanye kufurahia tendo la ndoa. Pili, ni vema wanaume waliooa wajulishwe kuwa pre sexual activities ni muhimu sana na ziwe nyingi za kutosha kumsaidia mwanamke asogee karibu na kilele kabla ya sex yenyewe, maana ufikaji wa kilele wa mwanaume na mwanamke hutofautiana. Zaidi sana, wanaume na wandoa wote kwa ujumla wanapaswa kujua harmony,peace na love ni muhimu sana kwa wanawake maana wao sex hupaswa kuandaliwa two days kabla ya sex. sweet words, touching some days before sex itakusaidia kumfikisha mwanamke kileleni!
 
Usmeayo ni kweli kabisa mkuu. Ila swala hili ni pana sana na sababu zipo nyingi sana ambazo nikisema nizielezee hapa nitajaza ukurasa. Ila kama kuna mtu anayesumbuliwa na hilo tatizo awasiliane na mimi ili nimshauri nini cha kufanya ili aondokane na hilo tatizo.
 
km mwanaume haiwez shughuli unategemea nn?tena wanaume wengi siku hv ndo hawana nguvu kabisaaa,wanachojua ni kuchomeka na kuingiza.ndo maana wanawake tukiwapata marijali wa ukweli tunawang'angania hata km wanandoa zao,maana tukizubaa unaweza kufa huijui raha.

Kweli tunagandwa sana.
 
Ni kweli kabisa tafiti zisizo rasmi zinaonyesha wananwake wengi hawafiki kilelen. Ukweli ni kwamba kuna mambo mengi yanayosababisha wanawake wasifikie kileleni na hatuwezi ya kuyaeleza yote. Kwanza wanawake wenyewe walio wengi hawajui kilele ni nini, hawajui wanapaswa kufanyaje au kufanwyaje ili wafike kilele. Hivyo wanawake pia wanahitaji kupata elimu ya kutosha kujua ni nini wafanye kufurahia tendo la ndoa. Pili, ni vema wanaume waliooa wajulishwe kuwa pre sexual activities ni muhimu sana na ziwe nyingi za kutosha kumsaidia mwanamke asogee karibu na kilele kabla ya sex yenyewe, maana ufikaji wa kilele wa mwanaume na mwanamke hutofautiana. Zaidi sana, wanaume na wandoa wote kwa ujumla wanapaswa kujua harmony,peace na love ni muhimu sana kwa wanawake maana wao sex hupaswa kuandaliwa two days kabla ya sex. sweet words, touching some days before sex itakusaidia kumfikisha mwanamke kileleni!

Long ways boss. Hata kama anatoka sahizi msibani unaweza kumrudisha na akamwaga ubwebwe kama kawa. Ukiona unatumia two days ujue hukufunzwa sawasawa. Nashukuru kuzaliwa Mngoni. Hiyo fani hainipishida. Tatizo ni wanawake kujifanya sitaki na taka. Mpaka wanasababisha timing belt ikatike.
 
Mmh! Kaaazi kweli kweli!

mnh usiende kwa wenye ndoa zao ukajipa matatizo mie nipo, sijisifu ila najiamini, karibu sana nipo zenji, ntafute kwenye fb na ni follow kwenye twitter pia kwa jina hili. Ntakusaidia sana
 
km mwanaume haiwez shughuli unategemea nn?tena wanaume wengi siku hv ndo hawana nguvu kabisaaa,wanachojua ni kuchomeka na kuingiza.ndo maana wanawake tukiwapata marijali wa ukweli tunawang'angania hata km wanandoa zao,maana tukizubaa unaweza kufa huijui raha.

Wanakula chipsi/mayai atakufikisha wapi? Kutana na kifaru kinakula dona, tembele, supu ya pweza na karanga kwa wingi. hao wala biscut na chocolate watabaki kuwa hivyo walivyo.
 
Wanawake wanatulaumu sana, kuna sababu za msingi za wao kufanya hivyo. Kuna mchangiaji ametoa sababu kubwa kuwa ni wanaume kuwa WAVIVU. Hiyo ni sabau moja kubwa sana. Kufika kileleni (ORGASM) kwa mwanamke kunategema vitu vingi sana siyo asilimia mia moja mwanaume.

1. Readness of doing sex...Utayari wa mwanamke kufanya mapenzi unampa asilimia zaidi ya hamsini ya kufika kileleni. Hili ni tatizo kwa wanawake wengi kwa sababu ya nature ya miili yao. Asilimia zaidi ya tisini ya wanawake huwa wanasikia hamu ya kufanya sex wanapokuwa kwenye OVULATION days (Siku ambazo yai la uzazi hupevuka). Hali hii inawafanya wanawake wengi wasiwe na utayari wa kufanya mapenzi unless mwanaume awe VERY CREATIVE, otherwise, mwanaume ataishia kupata round moja ya dakika moja kila anapohitaji mapenzi. Tatizo hili linaweza pia kuchelewesha kupata mimba kwa sababu mwanamke asiyeridhika uke wake unakuwa na ACIDIC NATURE na hiyo kuua sperm ambazo zinapenda BASIC CONDITION. Kufika kilele kunapelea mwanake kutoa maji maji ambaye yana BASIC nature ambayo yana - neutralize ile acidic nature ya vagina na hivyo kupelekea sperms kusurvive.

2. Harshness of Men....Wanaume wengi wamekuwa wakikurupuka kutaka mapenzi kwa wake/wenza wao. Hili linawafanya wanaume wengi washindwe kuwaandaa wake/wenza wao na kuishia kuingiza penis kwenye vigina na lastly kuejuculate, tena within very short time. Mwanamke anahitaji at least fifteen minutes of TOUGH IN WARD AND OUTWARD MOVEMENT OF PENIS INTO AND OUT OF VAGINE ili aweze kufika kileleni.

3. Poor Participation from women...Tunajua mwanaume hawezi kuingiza dhakari yake kwenye uke na yeye kukaa tu kusubiri what will follow. Mara zote mwanaume akiingiza dhakari huanza kuingiza na kutoa (rythmic movement). Lakini wanawake wengi wamekuwa wakiwategemea wanaume kwa ajili ya kufika kileleni. Hata siku ambazo wanawake wako tayari kufanya sex (Readnesss) wamekuwa wazito sana kushiriki. yaani anasikia hamu, lakini ushirikiano wake unakuwa mdogo sana. Hili linamfanya mwanaume ahisi kuwa anajihudumia mwenyewe na hivyo akishamaliza, basi anampa mgongo mke/mwenza wake na usiku/siku inapita. Au wakati wa sex Mwanamke anabaki anageuzwa huku na kule kama gogo, yaani kwa kifupi anakuwa ni kama ville OBSERVER wa kinachoendelea na siyo PARTICIPANT. Anaweza kuwa hata anakapata kazi nyingine ya kufanya wakati sex...yaani anakuwa hayupo kabisa, ataridhika vipi...?

4. Pre-mature ejaculation...Hii ni hali ambayo mwanaume anatumia sehemu ndogo sana ya dakika, pengine sekunde tano au kumi tangu aingize umme kenye uke kupizi. Wengine wengi wamepizi baada ya kuona mapaja ya mwanamke, au akikutana na mwanamke "MNATO" (Mwenye uke unaobana uume) anapizi baada ya kichwa cha uume kuingia. Na sote tunajua, mwanaume akipizi kwa wengi mchezo unakuwa umeishia hapo. Kwa wanawake wachache wenye ubunifu, wanajua nini cha kufanya baada ya hapo, Mwanaume hatoi dhakari yake kwenye uke, mwanamke anachezea kiuno chake hadi dhakari inainuka na kazi inaendelea. Inakuwa rahisi dhakari kuinuka ikiwa ukeni kutokana na joto. Kama unatumia Kondom, Unaivua, mwanake anayabana matiti yake, inapita hapo katikati ya matiti dakika moja, inapata joto inainuka kazi inaendelea. Au kwa wale ambao wanaweza kushika mic...kunyonya dhakari, ni njia rahisi zaidi, kwani joto la mdomo ni kubwa na linafanya uume kuinuka haraka zaidi.

5. Too seriousness during sex....Mara nyingi watu huchukulia sex kama kazi ambayo inafanyika mkiwa serious sana. Hakuna kuongea wala kucheka. Mbaya zaidi, ukimkuta mwanamke ambaye hata hatoi sauti yoyote, na baba naye ndiyo hivyo tena, kimya kimya, baba akimaliza anajiegesha pembeni kama aliyetoka kazini kisha mama anavuta shuka yake, usiku unapita.
sex is funy....you dont have to take sex too serous....kuna kupongezana wakati wa sex..."Mke/mpenzi wangu you are so sweet, no one like you...." Mume wangu you are my hero, you make me reach....unanifikisha hasa.....nipe mpenzi nipe....unaweza kweli kweli..." na vitu vingine kama hivyo...siyo lazima kila siku mwanamke awe analia au kutoa sauti za aina moja ....mnaweza kuwa hata mnaongea huku mnafanya sex kitu ambacho kitapunguzi sensation ya sex organs na hivyo kufanya mfanye sex kwa muda mrefu huku mki-enjoy love na mwanamke anaweza kufika kileleni even twice before men's ejaculation.

6. Psychological problems.....Stress, Tension, Anger....na mengine mengi yanaweza kupelekea mwanamke asiweze kufika kileleni. Kama kwa mfano ana msongo wa mawazo, halafu mwanaume anataka, ni dhahiri kuwa anaweza kukupa tu kwa sababu umehitaji lakini hawezi kufika kilele hata kama mtafanya saa moja, tena badala yake atakuwa anaumia kwa sababu no matter how much you will stimulate her, hawezi kutoa maji maji ukeni, na hivyo utaingiza uume uke ukiwa mkavu na hivyo wote wawili mtachubuka na kubaki na maumivu kwenye sex organs. That's why, watu wachache sana huwa wanaandaa mazingira ya kufanya sex since during the day... mwanamke anakuwa tayari kwa ajili ya sex kuanzia mchana hivyo mwili wake unakuwa na hamu kubwa ya kushiriki sex, na haya yote yanaendana na maandalizi ya chakula, maongezi ya kimahaba na jokes nyingi. But wengi wetu tunafanya sex pale umme unaposimama, na kwa sababu mke/mpenzi yupo basi unataka, bila kujali mwenzako yuko kwenye hali gani PHYSICALLY & PSYCHOLOGICALLY.

WHAT TO DO....???? NAFIKIRI FROM CAUSES YOU MAY WORK OUT TO FIND THE SOLUTIONS, UNLESS YOU ARE NOT A GREAT THINKER, AND IF YOU ARE NOT, HAUSTAHILI KUINGIA JF......PASAKA NJEMA WADAU....
 
Mbona mchokozi hivyo lakini wewe STK,kutuletea huu uzi mida hii maana yake nini?

Does anyone know of medication to help quicken orgasm?lol
 
Mbona mchokozi hivyo lakini wewe STK,kutuletea huu uzi mida hii maana yake nini?

Does anyone know of medication to help quicken orgasm?lol

Do you experience difficultly in getting one?
 
Wanawake wengi wanaficha ukweli, huo ni "uhanisi" wa kike. Mwanamme kaumbwa kumfikisha kileleni mwanamke, kama mwanamke hafiki kileleni basi ana matatizo, zingine zote ni sababu tu.
 
Mbona mchokozi hivyo lakini wewe STK,kutuletea huu uzi mida hii maana yake nini?

Does anyone know of medication to help quicken orgasm?lol

I do, not only to quicken orgasm, but to also make a woman enjoy multiple orgasms and to make her squirt.
 
Wanawake wengi wanaficha ukweli, huo ni "uhanisi" wa kike. Mwanamme kaumbwa kumfikisha kileleni mwanamke, kama mwanamke hafiki kileleni basi ana matatizo, zingine zote ni sababu tu.
Mimi nilidhani kufikia orgasm ni joint effort?
Ila nakubali Kuwa hiyo ni sexual dysfunction ya kike.
 
Wanakula chipsi/mayai atakufikisha wapi? Kutana na kifaru kinakula dona, tembele, supu ya pweza na karanga kwa wingi. hao wala biscut na chocolate watabaki kuwa hivyo walivyo.

Hahahhaaaaaaa kuna watu mmepinda humu ndani kila siku nasema looh!!!! Eti wala biscuit hahahaaa.....hivi tembele linasaidia eee hahahaaa umenichekesha sana.
:focus: ni kweli inaelekea wanawake wengi hawajui maana unakutana na wamama watu wazima wanaopiga story hizo halafu wanakwambia wamekuja kujua hiyo habari juzi juzi tu hapa,wengine wnasema bado hawa experience hiyo kitu inakuaje.....sasa unabaki mdomo wazi! Na kwa hili basi inaelekea wanaume wanadanganywa sana na wanaamini kabisa kama mtu kapiga bao kumbe bila bila......duuuh nomaaaa.
 
zomba mbona unatutukana ss wanawake hayo ni maswala ya kukaa na kujadiliana ili kujua muyapatie vp ufumbuzi wake. sio kutulaumu ss wanawake inapaswa utuombe msamaha kakaangu
 
Back
Top Bottom