Mwanamke na kufika kileleni

Mwanamke na kufika kileleni

eeeeh bana, wewe umegraduate katika mahaba nini, hahaaaah Ngoja niprint maana uchelewi kukuta wajuzi wameeitoa hii post
 
Jamaa kanunua kitabu cha dokta Nelson wa kwenye redio free africa naona sasa ndio anaanza kukirusha hapa ukurasa kwa ukurasa sijui kama amepata idhini ya mhusika lakini ingependeza japo ungekitaja tu kitabu husika na mtunzi wake ili kumpa heshima kuliko kujifanya ndio wewe!afterall kitabu chenyewe ni cha siku nyingi wewe ndio umekipata leo.
 
Zipo tetesi mitaani eti idadi kubwa ya wanawake hawafiki kileleni katika tendo la ndoa. Chanzo au sababu ya hili ni nini hasa? Je ipo njia ya mwanaume kujua mwanamke ame organsm kweli na siyo show tu?
 
Zipo tetesi mitaani eti idadi kubwa ya wanawake hawafiki kileleni katika tendo la ndoa. Chanzo au sababu ya hili ni nini hasa? Je ipo njia ya mwanaume kujua mwanamke ame organsm kweli na siyo show tu?

Can you believe the source?
 
kumbe ni tetesi, tubiri zikihakikiwa ndo tujadili.
 
Zipo tetesi mitaani eti idadi kubwa ya wanawake hawafiki kileleni katika tendo la ndoa. Chanzo au sababu ya hili ni nini hasa? Je ipo njia ya mwanaume kujua mwanamke ame organsm kweli na siyo show tu?

Orgasm ipi unamaanisha,maana there are 5 types of female orgasms ntazitaja bila kufafanua angalau kwa sasa:

1:The clitoral orgasm

2:G Spot Orgasm

3:Simulteneous Orgasm

4:Multiple Orgasm

5:The squirting orgasm

Sasa unazungumzia ipi labda?
 
Kosa ni letu wanaume!!! Tunashindwa kuwafikisha kileleni, hasa kama mwanamke amekeketwa!!!!!!

Mwanaume aki-orgasm yeye anajiona kamaliza shida zake!! Hajali ya mwenzie!!!

Kufika kileleni kwa mwanamke kunategemea 100% uwezo wa mwanaume kumtekenya mwenzi wake!!!

Na mwanamke akikutana na mwanaume anayemfikisha kileleni, hamwachi, atamganda tu!! Usije ukashangaa mwanamke wako kakukimbia!!
 
km mwanaume haiwez shughuli unategemea nn?tena wanaume wengi siku hv ndo hawana nguvu kabisaaa,wanachojua ni kuchomeka na kuingiza.ndo maana wanawake tukiwapata marijali wa ukweli tunawang'angania hata km wanandoa zao,maana tukizubaa unaweza kufa huijui raha.
 
Orgasm ipi unamaanisha,maana there are 5 types of female orgasms ntazitaja bila kufafanua angalau kwa sasa:

1:The clitoral orgasm

2:G Spot Orgasm

3:Simulteneous Orgasm

4:Multiple Orgasm

5:The squirting orgasm

Sasa unazungumzia ipi labda?

Kim Kardash hapo unataka kuua mende kwa rungu! Spelling tu za neno orgasm taabu tupu! Je ataweza kufafanua alikuwa akimaanisha orgasm ipi!
 
km mwanaume haiwez shughuli unategemea nn?tena wanaume wengi siku hv ndo hawana nguvu kabisaaa,wanachojua ni kuchomeka na kuingiza.ndo maana wanawake tukiwapata marijali wa ukweli tunawang'angania hata km wanandoa zao,maana tukizubaa unaweza kufa huijui raha.

Mmh! Kaaazi kweli kweli!
 
Back
Top Bottom