Mwanamke na kufika kileleni

Mwanamke na kufika kileleni

......tunapendana sana, tatizo lililopo, huwa wakati wa kummega, tunaanza vizuri tu na huwa anakuwa anapokea kwa raha sana mwanzoni, ......

Hebu fafanua zaidi hapa ili tuone tatizo lipo wapi. Ni kabla ya intercouse (yoyote) au baada?

...., lakini muda unavyoenda na kwa mujibu wake ni kwamba anapoanza kuhisi anafika kileleni tu, huwa stimu zinamkata na kuanza kuumia kupita maelezo, yaani huwa anaumia hadi namwonea huruma. ....

Huyo mrembo wako huwa anaumia physically au psychologically? Wapi hasa panauma/umia? Ameshawahi kufika kileleni katika maisha yake tangu aanze ngono? hili ni la muhimu kwa sababu inawezekana hata hiyo orgasm yenyewe haijui vizuri.

.....Nimejitahidi kumwandaa hata nusu saa nzima, lamba kila kona hadi anakuwa wet kabisa, but tukianza tu, hata dakika 5 hazifiki anaanza kulalamika kuumia, wakati huo mimi ndio maraha yamenoga kweli hivyo namlazimisha avumilie tu......

Wetness ni mojawapo ya dalili za hatua ya mwanzo kabisa katika mchakato na haiashirii kuwa 'yupo tayari' (inaonesha tu yupo aroused). Mwanamke anaweza kuwa wet wakati wa maongezi tu kabla hata hamjaenda chumbani sasa ukimparamia kwa sababu tu yupo wet inakuwa ngumu kweli kumsaidia kufika kileleni! Ni vema kuzingatia pia sio lazima awe wet ili ujue kama yupo tayari kwa intercourse ama la. Anaweza kuwa 'dry' lakini akawa yupo tayari kwa intercouse. Ndio maana kuna lubricants madukani. Kwa kifupi wetness sio 'litmus test'!
 
ukimsaidia tatizo lake likaisha, utakuwa umemsaidia sana maishani mwake
 
Wanaume wanaweza kufika kileleni ndani ya dakika tatu za mwanzo.
Lakini ili wanawake wafike kileleni ni lazima muda mrefu sana utumike kwenye maandalizi na shughuli nzima kwa ujumla.
Baada ya tendo la muda mrefu wa manjonjo na madoido ndio bibie anaanza kusema am kaming, am kaming (siku yangu kwanza niliuliza, where are you coming from, RUFIJI?'.
Akisha kam, kinachofuata hapo ni usingizi mkali, kesho mnaamka na uchovu.
Uchovu jumlisha foleni ukifika ofisini ni kusinzia tu.
Baada ya hapo hamna kazi umefanya, na kwa namna moja unakuwa umerudisha nyuma gurudumu letu la maendeleo
 
hahahahahahaha!
Hapo kwenye RUFIJI??? Mbavu sina. Una vituko wewe.
 
hiii mbona haina ubishi kaka?
Lakini nchi zote wanapigana mikongojo, iweje bongo tubaki nyuma kimaendeleo?
Mabadiliko ya tabia nchi plus vyakula tunavyokula, na vinywaji tunavyokunywa, vinachangia kwa kiasi kikubwa kufanya watu wachoke baada ya kuDO.
 
Tatizo letu wabongo tunapenda sana ujiko, utakuta kijiweni mtu anajisifia, mie huwa napiga mabao 12.
Jamani vitu vingine si ujiko wala ujanja.
 
Leo kazi ipo sijui umeamkia wapi ndugu maana thread kama mvua ya masikaaaa
 
Kuna sikusijui hua unaamkia wapi!
hapa kuna ukweli kiasi ila kooote duniani watu wanakulana,
iweje biongotu ndo tubaki nyuma??
 
sikubaliani. ukishalala usingizi mkali kesho yake unaamka ukiwa na nguvu na furaha lukuki. na hii itasaidia kufanya kazi kwa ufanisi na umakini. na hapo unaendeleza nchi...!!! Labda kama unafanyia ofisini na unashikwa na usingizi hukohuko ofisini then inakuwa kinyume chake!!
 
Wanaume wanaweza kufika kileleni ndani ya dakika tatu za mwanzo.
Lakini ili wanawake wafike kileleni ni lazima muda mrefu sana utumike kwenye maandalizi na shughuli nzima kwa ujumla.
Baada ya tendo la muda mrefu wa manjonjo na madoido ndio bibie anaanza kusema am kaming, am kaming (siku yangu kwanza niliuliza, where are you coming from, RUFIJI?'.
Akisha kam, kinachofuata hapo ni usingizi mkali, kesho mnaamka na uchovu.
Uchovu jumlisha foleni ukifika ofisini ni kusinzia tu.
Baada ya hapo hamna kazi umefanya, na kwa namna moja unakuwa umerudisha nyuma gurudumu letu la maendeleo

Ukiwa na mazoezi kwa maana ya kupiga gem mara kwa mara hiyo hali haitokei broda!
 
daaah Bujibuji umenichekesha sana leo..yaani hii inamhusu mshakaji wangu falni hivi anaitwa BONGE.....hahaaaaa ..yaani yeye dakika mbili nyingi
 
Back
Top Bottom