Ipo siku moja jamaa alipata Kabinti kalijipinda yaani akawa kama fundi anayerekebisha chaga za kitanda, alipomuuliza we vipi hunafanya nini huko kabintinti kakajibu kwa pozi la kimahaba eti sweet ni style hiyo inaitwa Mtaka cha uvunguni!!
Aisee Dunia hii acha tu!!
Si unajua sisi tunataka kukamua zote hadi utoke upepo ndio unateremka kiunoni
Mabadiliko ya tabia nchi plus vyakula tunavyokula, na vinywaji tunavyokunywa, vinachangia kwa kiasi kikubwa kufanya watu wachoke baada ya kuDO.
Kuna ukweli ndani yake. Nchi za Asia kwa mfano hawaendekezi ngono. Nimeishi Japan na nimekuwa na marafiki wa Malaysia na China. Wanasema wao wakiolewa wanalala na wame zao pale tu wanapotaka watoto. Wakishazaa basi mama ana amia chumba cha watoto. Meaning kwao sex ni very rare. Nadhani hata wahindi ni hivyo.
Sasa Bongo wanaume mnajifanya vidume vya mbegu. Unakuta sex daily kama mashindano. Bado kuna small nayo pia inataka mgao. Kwa nini usisinzie kazini.
Nafikiri hata wazungu wana bank much on romance than sex.
Hapa unakuta mke mume anataka daily si kuwa ana hamu basi tu anaona labda asipofanya daily atasaidiwa.
Na nadhani ndio maana watu tunachokana mapema. Kila siku!
Tatizo letu wabongo tunapenda sana ujiko, utakuta kijiweni mtu anajisifia, mie huwa napiga mabao 12.
Jamani vitu vingine si ujiko wala ujanja.
WA AINA HII NI MZEMBE TU! KISAIKOLOJIA, TENDO HILO UBURUDISHA NA KURIFRESH UBONGO PAMOJA NA VIUNGO VINGINE-NA KUMFANYA MTU KUPUNGUZA MSONGO WA MAWAZO HASA UKIFANYA NA MTU UNAYEMWAMINI!
INAKUWA SHIDA PALE UNAPOFANYA NA WAKUOKOTEZA,
LAZIMA UTASHINDWA KUFANYA KAZI,
MAKE UTAISHIA KUFIKIRIA JINSI AMBAVYO UKUVAA K***M,
NA KUHOFIA KUPATA VIRUSI AU MAGONJWA YA NGONO,
AU KUMMIMBA CHANGUDOA,
E BWANA EEEE....CIPATI PICHA!😛ound: