Mwanamke mzuri wa kuoa ni mwalimu.

kwa hiyo mimi ambaye nimeoa housewife, yaan mama wa nyumbani nimejichanganya? aliishia darasa la 7 tu...maana naona mnashabikia elimu tu...
 
Nitoe ushuhuda.

Mke wangu ni mwalimu na ndoa imekwishapita miaka 25. Nilipata dili nzuri.
 
mwalimu hasa wa shule ya msingi ndo mpango mzima kwani hata uhamisho wake ni simpo tu karibu kila kijiji kina shule.
 
Lol! Basi mie mtoto wa mwalimu natafuta mume.. Hahahaha! Well my opinion is rshps hazina formula, it is how the two of u make it!
 
Lol! Basi mie mtoto wa mwalimu natafuta mume.. Hahahaha! Well my opinion is rshps hazina formula, it is how the two of u make it!
 
Lol! Basi mie mtoto wa mwalimu natafuta mume.. Hahahaha! Well my opinion is rshps hazina formula, it is how the two of u make it!

naomba uniPM basi ili tuwekane sawa...i mean we can start our relatioship fom here
 
My friend, money is not happyness kama unabisha angalia wenye pesa wake zao wana lala na house boys wao, na pia wanalia usiku kucha nyumba haina amani wala raha, mume anarudi asubuhi mke anachunwa na maserengeti, mume bize na wanafunzi na machangu. Mke mwema na Mume mwema, na ndoa yenye amani na furaha inatoka kwa mungu, na imepewa kibali na mungu mwenyewe. Pesa is ina play part ndogo sana kwenye maadili ya ndoa. Sijaolewa but nalijua hilo.

Mamushka, hapo umenishika!
Infact i do lyk a girl of your kind and u are the one!
Plz ni PM tuongee kirefu coz hata mi sijaoa!
 
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye ni mwalimu.
Huwa ni watu wenye hekima, wanaweza malezi kwasababu huwa wanakutana na watoto wengi wa tabia tofauti so wa kwake hawatomshinda.
Ni watu ambao hawawi overworked mara nyingi hivyo anapata muda wa kuwa na familia yake.
Na inasemekana wanaume wengi wenye hela huoa walimu.
Hiyo ni kweli wadau?
Wenye taaluma zingine mbona kazi tunayo.


Ni kweli, mwanamke wa kumwoa ni Mwalimu. Hata kwenye mechi atakuwa na tabia ya kusema rudia!!!!!!!!!!!!!!!
 
kwa hiyo mimi ambaye nimeoa housewife, yaan mama wa nyumbani nimejichanganya? aliishia darasa la 7 tu...maana naona mnashabikia elimu tu...

hujajichanganya. Ila inawezekana angekuwa mwalimu angekuwa na sifa za ziada.
 
asante kwa comment yako hiyo...she is actually very nice...hivi nikisema nimpeleke chuo akasomee ualim ndio ntakuwa namkoroga zaidi au?

mpeleke aongezeke maskills. Walimu wanajifunza mambo mengi pamoja na haiba.
 
Back
Top Bottom