Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
kwa hiyo mimi ambaye nimeoa housewife, yaan mama wa nyumbani nimejichanganya? aliishia darasa la 7 tu...maana naona mnashabikia elimu tu...
ila nasikia wengi wameadhirika na sikia si wagumu kuwapata.
mwalimu hasa wa shule ya msingi ndo mpango mzima kwani hata uhamisho wake ni simpo tu karibu kila kijiji kina shule.
Lol! Basi mie mtoto wa mwalimu natafuta mume.. Hahahaha! Well my opinion is rshps hazina formula, it is how the two of u make it!
naomba uniPM basi ili tuwekane sawa...i mean we can start our relatioship fom here
Aah jamani ina maana si machinga hatutaolewa kabisa
My friend, money is not happyness kama unabisha angalia wenye pesa wake zao wana lala na house boys wao, na pia wanalia usiku kucha nyumba haina amani wala raha, mume anarudi asubuhi mke anachunwa na maserengeti, mume bize na wanafunzi na machangu. Mke mwema na Mume mwema, na ndoa yenye amani na furaha inatoka kwa mungu, na imepewa kibali na mungu mwenyewe. Pesa is ina play part ndogo sana kwenye maadili ya ndoa. Sijaolewa but nalijua hilo.
kaka naona unataka jitwalia mwali
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye ni mwalimu.
Huwa ni watu wenye hekima, wanaweza malezi kwasababu huwa wanakutana na watoto wengi wa tabia tofauti so wa kwake hawatomshinda.
Ni watu ambao hawawi overworked mara nyingi hivyo anapata muda wa kuwa na familia yake.
Na inasemekana wanaume wengi wenye hela huoa walimu.
Hiyo ni kweli wadau?
Wenye taaluma zingine mbona kazi tunayo.
hujajichanganya. Ila inawezekana angekuwa mwalimu angekuwa na sifa za ziada.
Aah jamani ina maana si machinga hatutaolewa kabisa
hilo jina lako mmmh hivi unajua maana yake?
naskia ni style tamu sana ya kumegana