Mwanamke mwenye mtoto!

Mwanamke mwenye mtoto!

Leo kuna watu mnadhani ukishakuwa na kabalance kidogo bank, ukiendesha vogue,nyumbani ukiwa mazaga kwenye fridge na kajumba mjini baaas ni future...Lemme tell you,kuna wanawake wana uwezo pia, taasisi ya ndoa inahitaji zaidi ya hayo....mapenzi ni ujinga ujinga kiongozi, wenye ndoa stable ni wale wajuvi wa ujinga ujinga, unachoita future ni by the way tu!

Hii ni proof ya highest qualification.....

Naomba ungezee kuwa ni upuuzi upuuzi na usanii sanii.....

Huyawezi hayo, basi kakimbizane na useja!!
 
Kwa wale tuliozaliwa miake ile ya 1947, siwezi kubisha mkuu...

Wale wazee walikuwa wanajitendea haki. Siyo kama sie ambao tunasumbuliwa na uchovu wa kila kiungo...lol!!

CC: Karucee!!

Hahaaaa. Babu Babuuuuuu. Lols.
 
Last edited by a moderator:
And i guess the "disparity between innocent and guilty lies with doubts,suspicion and powered by scrutiny"

If we dont have doubts, suspicions and lastly scrutiny then we are in no position to tell the differences between innocent and guilty!!!!!


Kwani na wewe ni loya??

Haya majitu huwa yanatemwa na watu hiyo profession ambayo bado inatumia lugha ya karne ya kwanza AD!!
 
Bibi mzima sana....siku hizi anasumbua sana ujue...anadai kwamba tustaafu kila kitu..lol!!

Anakusubiri uje kupata shule ya bure!

Kustaafu kila kitu itakuwa ngumu


Nahitaji shule tena ndefu.

Nitakuja.
 
Nimekuelewa mkuu. Kwa hiyo baba wa mtu akianza ujinga ujinga ndio nishaumia tayari!

You have no control juu ya huyo mzazi mwenzake na bibie...you can only control yourself and influence her!

Anayetakiwa kuapply ujinga ujinga ni wewe!!

Utaweza??
 
Kustaafu kila kitu itakuwa ngumu


Nahitaji shule tena ndefu.

Nitakuja.

Usiwe na shaka, kila kitu kinawezekana. Unaweza tu kuvuka mtu ukishaufikia...

Kwa sasa wewe tuachie sisi tustaafu au tustaafishwe.....Kwani mwenzio keshasema kuwa liwalo na liwe...!
 
Usiwe na shaka, kila kitu kinawezekana. Unaweza tu kuvuka mtu ukishaufikia...

Kwa sasa wewe tuachie sisi tustaafu au tustaafishwe.....Kwani mwenzio keshasema kuwa liwalo na liwe...!

Sentensi ya mwisho mimi apana elewa Babu.
 
Kwani na wewe ni loya??

Haya majitu huwa yanatemwa na watu hiyo profession ambayo bado inatumia lugha ya karne ya kwanza AD!!

Mimi sio loya babu basi tu walimu fulani sehemu fulani walikuwa kazi yao kutupa mi book review tu na kila uchao presentation tu yeye kazi yake kukosoa na kukupa refference nyingine ya ku counter argue presentation uliyokwishafanya!!!!!

Akisha hapo akupe article published ui criticize na theory anakuchagulia yeye za kufanyia hiyo kazi!!!!!!!
 
Mimi sio loya babu basi tu walimu fulani sehemu fulani walikuwa kazi yao kutupa mi book review tu na kila uchao presentation tu yeye kazi yake kukosoa na kukupa refference nyingine ya ku counter argue presentation uliyokwishafanya!!!!!

Akisha hapo akupe article published ui criticize na theory anakuchagulia yeye za kufanyia hiyo kazi!!!!!!!

Those were brilliant teachers....

Nitakutafute unipe hints kwani natafuta shule za wajukuu zangu....
 
Not just simple... wise and very smart. I salute you.


Wewe Karucee......

Una nini na Babu wewe?

Ndo maana siku ile nilikwambia kuwa, ukitaka kumuua mwanamume, mshushe thamani...ila kwa sifa kiduchu kama hii (hata kama siistahili!!), haki ya nani umeniongezea miaka kibao ya kuendelea kuguguna pension!!

Ngoja niende kumsimulia bibi jinsi ulivyonipaisha....

Halafu huko kwingine Zinduna naye kaniweka hewani hapa....

Najihisi kupaa kabisa....

 
Last edited by a moderator:
Those were brilliant teachers....

Nitakutafute unipe hints kwani natafuta shule za wajukuu zangu....

Haina shida babu "static knowledge" ni kama "stagnant water" hao ma uncle wanahitaji kufuata nyayo,sasa tukikumbatia knowledge inakuwa ya nini???!!! Bora hata maji yaliyotuama yatasababisha malaria watu wauze dawa!!!!!!

Knowledge must flow!!!!
 
Wewe Karucee......

Una nini na Babu wewe?

Ndo maana siku ile nilikwambia kuwa, ukitaka kumuua mwanamume, mshushe thamani...ila kwa sifa kiduchu kama hii (hata kama siistahili!!), haki ya nani umeniongezea miaka kibao ya kuendelea kuguguna pension!!

Ngoja niende kumsimulia bibi jinsi ulivyonipaisha....

Halafu huko kwingine Zinduna naye kaniweka hewani hapa....

Najihisi kupaa kabisa....



Thanks for the song babu. Ila nilichokisema comes straight from my heart.

Ushinde salama na ubarikiwe na bibi pia.
 
Last edited by a moderator:
Thanks for the song babu. Ila nilichokisema comes straight from my heart.

Ushinde salama na ubarikiwe na bibi pia.


Ahsante sana.....uwe na siku njema leo na hata siku yako ya mwisho hapa duniani...especially kwenye nchi ya akina JK, Nape na Kinana...lol!!

(nimesehe nimekumbuka tembo wanavyoteketezwa...lol)!!
 
Back
Top Bottom