Sina wasiwasi ila tu.. miluzi mingi humpoteza mbwa. Nampenda ananipendana...tunapendana.., tatizo baadhi ya ndugu na mama wanaona kuna siku ataniacha na kurudi kwa baba wa mtoto. Kitu ambacho kwa kwa tulivyoliongelea hilo swala na bibie ni kitu ambacho hakitatokea..japo OLESAIDIMU kaniasa nisijihakikishie vitu ambavyo havina uthibitisho kisayansi.
Pamoja na hayo tumepanga tuwe na simple function this coming june...na wengine wameanza kutangaza kutokuja.
Kumbuka hao wawili watawasiliana maisha yao yote, hao wameunganishwa na huyo mtoto. Iwe kwa mema au mabaya, mawasiliano baina yao hayakwepeki.
Inawezekana baada ya mda mfupi hisia zikarudi. je, umejiandaa kukabiliana na hali yoyote itakayojitokez? Nina mfano wa sibling, amezaa na mdada, bahati nzuri yule dada kaolewa, jamaa nae kaoa ila hawa jamaa wanakutana na kungonoka. Nilipomuuliza kwa nini anafanya hivyo akajibu, tunakumbushia..
Naamini wapo wanaojitambua ila, kama wewe ni mtu mwenye wivu wa "kijinga" utaumia sana.......!!!!!
amjuaye huyo mama mtoto ni wewe. wewe ndiye ujuaye asemacho ni kweli au la...wewe ndiye uonaye jinsi anavyoweza kuishi na huyo mzazi mwenzie na dalili zozote unaona.
kama kweli unampenda umchukue kwani hao wanaokushauri umuache utafute asiye na mtoto:
1. wamewazalisha mabinti wengine na wameolewa na wao wamepigwa kibuti.
2. wanaishi na mke ila watoto si wao (hawajui tu)
3. hawana scientific proof kuwa ukioa ambaye hajazaa hatakutenda kama wanavyodhani kwa huyu.
Kwa mwanamke anasema hata kama sitamuoa au hatatokea mtu wa kumuoa basi atakaa hivyo hivyo kuliko kuishi na huyo baba wa mtoto.
Hizo changamoto ni zipi mkuu? Japo nyingine nimeanza kuziona mfano; mama na ndugu hawataki kusikia hiyo habari..kwa sababu tu ya huyo mtoto.
Hili jambo wanawake wengi hufanya mpwa hata wale ambao hawana watoto lakini walikuwa tu kwenye mahusiano na watu ambao mwishoni waliwatelekeza.
Hapo sasa. Kwa hiyo mkuu nikae kwa wasiwasi tuu..?
Asante sana mkuu. What a powerful advice. Be blessed.
^^
Kama umempenda kupita kiasi, love is all about risk taking
^^
Mpwa hili jambo lishaumiza wengi sababu dhamira is so disguising!!!!
This is exactly what you want....???
Basi mimi nakushauri kuwa usimsikilize mtu yeyote wa nje...isikilize nafsi yako na wishes zako tu. Kwani mambo yakienda kinyume, hivyo ndivyo utakavyovililia.
Ila kama kweli wewe umejihakikishia kuwa hakuna tatizo lolote na mapenzi yenu ni very strong, kwa nini umeleta huu uzi?
Siyo lazima kujibu hilo swali ila ukijiweka sawa moyoni mwako basi chapa lapa kwa kwenda mbele ili kutekeleza kile unachotamani kukifanya!!
Kwa sasa utasikia mengi tu hata ambayo atashindwa kwa "circumnstancial reasons" ila chuja sana anayosema na wewe unayoona yanawezekana!!!!!
Kukiwa na kikao cha shule utaenda wewe,mama yake ,baba mzazi au wote????!!!!
Mtoto akiumwa (God forbid) huko kwa baba yake mama akakuambia anaenda kushinda na mtoto nawe utshinda huko,utampitisha then umfuate au utaacha aamue mwenyewe???!!!
Baba wa mtoto akiumwa na mpenzio akakuambia anaenda kumjulia hali (request) utasemaje!!!!???
Usijihakikishie mambo ambayo hayana vipimo kisayansi!!!!!!
Kwa sasa utasikia mengi tu hata ambayo atashindwa kwa "circumnstancial reasons" ila chuja sana anayosema na wewe unayoona yanawezekana!!!!!
Kukiwa na kikao cha shule utaenda wewe,mama yake ,baba mzazi au wote????!!!!
Mtoto akiumwa (God forbid) huko kwa baba yake mama akakuambia anaenda kushinda na mtoto nawe utshinda huko,utampitisha then umfuate au utaacha aamue mwenyewe???!!!
Baba wa mtoto akiumwa na mpenzio akakuambia anaenda kumjulia hali (request) utasemaje!!!!???
Hata mtu akioa au kuolewa na bikra, maisha ya ndoa yana changamoto nyingi. Bora enzi za 1947, ndoa ilikuwa inalindwa na jamii kwa nguvu nyingi sana. Siku hizi, watu ambao tena wengine ndiyo hawajakua kiwamazo wameachwa wapweke wakapuyange wenyewe na mambo yao ya ndoa (sometimes bila msaada wa kutosha). This is very unfair but yet the reality!
Hakuna ubaya wowote uliopo kuoa mwanamke mwenye mtoto maadamu mnapendana.
Lakini mwenye mtoto ataendelea kugegeda mamatoto kama zamani.
Kama hiyo siyo shida kwako, basi unaweza kumuoa huyo mama mtoto.
Wasi wasi hauna nafasi juu ya hili!!!!!
Jua tu kuna changamoto za hapa na pale na zinaweza kuwa sehemu ya maisha yenu!!!!?????
Ila inawezekana