Mwanamke mwenye mtoto!

Mwanamke mwenye mtoto!

Inaonekana wewe ni sikio la kufa. haya kamuoe huyo mwanamama mwenye mtoto wa mwanaume mwenzio. Omba wewe usiwe na matatizo ya kizazi.

Mmmmh ila mkuu hamna wanawake walioachwa na watoto wao wanatanga tanga tu.. na ukiwauliza wanakuambia walibeba mimba ili kuwanatisha wapenzi wao!!. Ila pia watoto ni majaliwa ya Mwenyezi..
 
Nimepitia kila post yako na zile za wachangiaji, na ukweli ni kwamba sijapata jibu. Ila kwa kuwa mimi ni mtu mzima, na mwenye uzoefu na mambo ya mahusiano (specifically ndoa) kwa zaidi ya muongo mmoja, naweza kuelewa bila hata kuhitaji jibu lako.

Ndiyo maana nikakuomba usijibu ila ufanye internal reflection (ikiwezekana fanya meditation) ili upate jibu ndoni ya moyo wako. Ukiweza kujijibu swali hili, "kwa nini nimeuliza maswali haya"? Basi utakuwa umeshinda....Na babu keshakupa baraka zote usonge mbele!

Haya mkuu...
 
Ila mkuu huyo aliyezaa naye hawakufunga ndoa.

Mkuu kwani umeshakuwa scraper kiasi kwamba umekosa sifa za kujitwalia binti ambaye hakuwahi kuzaa na mwanaume mwenzako? Kuna faida na hasara za kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine!

Faida ni kwamba umeshajua kuwa ana uwezo wa kuzaa kwa hiyo kama huna matatizo ya uzazi mnaweza kupata watoto sita kwa miaka saba kama jamaa mmoja humu ndani!
Faida ya pili ni kwamba ana experience kwenye masuala ya unyumba kwa hiyo atakuwa mkufunzi wako...

Kabla sijasema demerits labda nikukumbushe tu kuwa wanaoolewa kufuata future kwa waume ni hiki kizazi cha digital lakini real women hawafuati future kwa wanaume so ukileta uvivu kitandani na kukosa ubunifu (of which mwenzio ni experienced) tegemea mkeo kusaka hizo 'future' kwa wenzako unaodhani umewazidi 'future'
 
Mmmmh ila mkuu hamna wanawake walioachwa na watoto wao wanatanga tanga tu.. na ukiwauliza wanakuambia walibeba mimba ili kuwanatisha wapenzi wao!!. Ila pia watoto ni majaliwa ya Mwenyezi..

Mimi siamini katika kufanya mapenzi kabla ya ndoa. haya yoote yanatokea kwa sababu watu wanakimbilia kufanya mambo ya ndoa kabla hawajaingia katika ndoa.
Kwakifupi, uzinzi ndio chanzo cha yote hayo. watu tunatakiwa tuache uzinzi.
 
Mkuu kwani umeshakuwa scraper kiasi kwamba umekosa sifa za kujitwalia binti ambaye hakuwahi kuzaa na mwanaume mwenzako? Kuna faida na hasara za kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine!

Faida ni kwamba umeshajua kuwa ana uwezo wa kuzaa kwa hiyo kama huna matatizo ya uzazi mnaweza kupata watoto sita kwa miaka saba kama jamaa mmoja humu ndani!
Faida ya pili ni kwamba ana experience kwenye masuala ya unyumba kwa hiyo atakuwa mkufunzi wako...

Kabla sijasema demerits labda nikukumbushe tu kuwa wanaoolewa kufuata future kwa waume ni hiki kizazi cha digital lakini real women hawafuati future kwa wanaume so ukileta uvivu kitandani na kukosa ubunifu (of which mwenzio ni experienced) tegemea mkeo kusaka hizo 'future' kwa wenzako unaodhani umewazidi 'future'

'Future' means what?
 
Mimi siamini katika kufanya mapenzi kabla ya ndoa. haya yoote yanatokea kwa sababu watu wanakimbilia kufanya mambo ya ndoa kabla hawajaingia katika ndoa.
Kwakifupi, uzinzi ndio chanzo cha yote hayo. watu tunatakiwa tuache uzinzi.

Umesema kweli mkuu..
 
'Future' means what?

Leo kuna watu mnadhani ukishakuwa na kabalance kidogo bank, ukiendesha vogue,nyumbani ukiwa mazaga kwenye fridge na kajumba mjini baaas ni future...Lemme tell you,kuna wanawake wana uwezo pia, taasisi ya ndoa inahitaji zaidi ya hayo....mapenzi ni ujinga ujinga kiongozi, wenye ndoa stable ni wale wajuvi wa ujinga ujinga, unachoita future ni by the way tu!
 
and thats my theory, "u r innocent until proven guilty."

And i guess the "disparity between innocent and guilty lies with doubts,suspicion and powered by scrutiny"

If we dont have doubts, suspicions and lastly scrutiny then we are in no position to tell the differences between innocent and guilty!!!!!
 
Kuna mtu anaitwa @Block City vipi ni ndugu nyie?


Kwa wale tuliozaliwa miake ile ya 1947, siwezi kubisha mkuu...

Wale wazee walikuwa wanajitendea haki. Siyo kama sie ambao tunasumbuliwa na uchovu wa kila kiungo...lol!!

CC: Karucee!!
 
Last edited by a moderator:
Leo kuna watu mnadhani ukishakuwa na kabalance kidogo bank, ukiendesha vogue,nyumbani ukiwa mazaga kwenye fridge na kajumba mjini baaas ni future...Lemme tell you,kuna wanawake wana uwezo pia, taasisi ya ndoa inahitaji zaidi ya hayo....mapenzi ni ujinga ujinga kiongozi, wenye ndoa stable ni wale wajuvi wa ujinga ujinga, unachoita future ni by the way tu!

Nimekuelewa mkuu. Kwa hiyo baba wa mtu akianza ujinga ujinga ndio nishaumia tayari!
 
Back
Top Bottom