Mwanamke mwenye aibu

Mwanamke mwenye aibu

Jamani nimepita humu somewhere nimekuta a guy analalamika he has a very shy type of girl.....now guys wenye hiyo type of girl be patient with them Mimi ni hiyo type ya girl Kama sujakuzoea ila nikikuzoea basi people always say to my friends why is she so shy..... So quite and their answers is always SHE IS NOT jaman mungu katuumba tofauti wengine tuna aibu na wakimya kwa watu ambao hatujawazoea Sana hiyo siyo sababu ya kuachana na mpenzi wako
Nyuma ya aibu yenu huwa mnakuwa na mambo mengi sana
 
Aisee Taifa stars wamenichefua roho sana,mleta mada nitarudi baadae
 
Jamani nimepita humu somewhere nimekuta a guy analalamika he has a very shy type of girl.....now guys wenye hiyo type of girl be patient with them Mimi ni hiyo type ya girl Kama sujakuzoea ila nikikuzoea basi people always say to my friends why is she so shy..... So quite and their answers is always SHE IS NOT jaman mungu katuumba tofauti wengine tuna aibu na wakimya kwa watu ambao hatujawazoea Sana hiyo siyo sababu ya kuachana na mpenzi wako
Sisi tunamatatizo ya kufungwa wewe unatatizo LA shy sijui tatizo gani hill?
 
Umenikumbusha X wangu fulani hivi wakati wa kumuingizia dushe alikuwaga anafunika macho yake ni mikono yake, but she was very good girl i ever had!
 
Ukirudi kusoma upya utajua siyo Mimi Bali nimekuta mtu analalamika atamuacha mpenzi wake kisa ana aibu
Ina maana nirudi nisome upya? Naona hutuheshimu baba zako wadogo....Tutakulaani sie.
 
Jamani nimepita humu somewhere nimekuta a guy analalamika he has a very shy type of girl.....now guys wenye hiyo type of girl be patient with them Mimi ni hiyo type ya girl Kama sujakuzoea ila nikikuzoea basi people always say to my friends why is she so shy..... So quite and their answers is always SHE IS NOT jaman mungu katuumba tofauti wengine tuna aibu na wakimya kwa watu ambao hatujawazoea Sana hiyo siyo sababu ya kuachana na mpenzi wako
Jitahidi uwe unatumia lugha moja italeta mvuto zaidi katika hadithi zako
 
Write your reply...dah Nina tatizo kubwa sana la aibu japo mie sio mwanamke yani naona aibu hata kukoment hapa yan hata nikijamba mwenyewe najionea aibu embu njoo pm unipeushaur watu wasiuone
 
Me ninae manzi mwenye aibu had bas ila mwanzon nilijua ni mwanzo tu kumbe ni kawaida yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom