Mwanamke/mwanaume kufika Kileleni, vizuizi ni hivi...

fiksiman

JF-Expert Member
May 17, 2008
402
104
Ndugu zangu katika ulimwengu wa Mahaba,

Hivi karibuni nilipata fursa kwenda nchini Afrika Kusini katika kulisaka tonge na kufaudu maisha. Basi kama mnavyojua kwa wale wenzangu tunaosafari sana sehemu tofauti, mara nyingi kiu cha wenye kinakuwa kikubwa sana na pia kuna radha fulani huipata.

Sasa pita pita yangu nikaopoa mtoto mmoja wa kizulu, bwana nilipelekwa mchaka mchaka hadi ikabidi niongeze siku mbili ili niweze kukata kiu kwa utulivu.

Kitu kimoja kipya nilichojifunza pale kwa babu ni ule utaalam wa kulazimisha mechi iishe hata kama hukutaka. Yule mtoto bwana alikuwa akijua tu amechoka basi anapiga YOWE moja matata kama vile ameng'atwa na kitu, wajomba msipime, nilikuwa napata msisimko wa ajabu na dakika hiyo hiyo habari inaishia hapo.

Huu ni ushauri wa bure hasa kwa wadada wanaoteseka na Mijanamme yenye uwezo wa kukaa masaa moja hadi matatu kiunoni pasipo kueleweka. Ni dawa ndogo tu, ukitosheka, angusha kilio kikubwa wanaitwa ukelele utanusurika na mateso...ikishindwa hii usisite kuja upate dawa nyingine.


 
Mmmmm wengine ukipiga hayo mayowe anapoa baada dak 2 juu.....tena
 
Kila mtu ana kitu chake kinachompandisha mahanjamu, kama wewe mayowe yanakufikisha- sawa, good for you lakini sio kila mtu! Wengine ngoma inaweza ikanywea kwa hayo makelele!
 
Kila mtu ana kitu chake kinachompandisha mahanjamu, kama wewe mayowe yanakufikisha- sawa, good for you lakini sio kila mtu! Wengine ngoma inaweza ikanywea kwa hayo makelele!

Hujapata mpiga yowe wewe, mwenzio nilipatikana kule bondeni sasa subiri wenye kufanyia walete majibu msianze siasa sasa...nakujua sana tabia zako za ubishi.
 
heh! Mayowe ya kishindo au? Maana usikute hayo mayowe ni ya kuzulu zaidi ndo maana wanazijulia wenyewe na wanaume wao wamezoea.Yaani ni kati ya kichocheo kwenye mapenzi yao.
Watu hawakuwasikia nje kwa hayo mayowe?

Kwangu mimi kama hamalizi haraka,tunaahirisha. Masaa 2 hajaitika kweli ni shughuli ila mwisho wa siku kila mtu na taste zake mkuu. Wengine wanapenda masaa mengi.
 
Last edited:


Ha ha ha ha ha ha hebu lirudie hilo YOWE matata hapa JF ha ha ha ha...LOL!
 
Mzee wa fiksi hapo umeongea, yaani bila yowe mi hunipati, lina raha yake hasa umkute mwizi ananong'oneka, pale mi ndio mbio .....
 
Bellie where are you! Njoo tutoe ushuhuda wetu hapa na wanaJF !
 
Kwangu mimi kama hamalizi haraka,tunaahirisha. Masaa 2 hajaitika kweli ni shughuli ila mwisho wa siku kila mtu na taste zake mkuu. Wengine wanapenda masaa mengi.

Nakumbuka last time ulivyoninunia anyway you're so good and sweet!
 
Bwana tusiifaidishe jamvi ila tuwape ile mbinu yetu mana haya mayowe watu wanaweza kuzingira nyumba kuhisi nakabwa!!! Mayowe yasipitilize..

Nimekusoma sweetie! unajua wakati mwingine kuwa na taulo jirani ni muhimu mwenzako akipagawa kwa makelele wamfunika na taulo!! hahahahaha
 
Nimekusoma sweetie! unajua wakati mwingine kuwa na taulo jirani ni muhimu mwenzako akipagawa kwa makelele wamfunika na taulo!! hahahahaha

Haswa maana tutasumbua mtaani, raha yetu tusumbue wengine my dear haipendezi. Huyo fiksiman inaelekea anatamani kurudi kwa zulu akapigiwe mayowe mengine ati..
 
ha ha ha

...mnanikumbusha Kelly01 na Nyani Ngabu, na Couple nyingine; Penny na Balantanda..endeleeni tu kupigana 'sweet-talks' lakini mjue mkikorofishana nawafungulia thread yenu hapa hapa...!
 
ha ha ha

...mnanikumbusha Kelly01 na Nyani Ngabu, na Couple nyingine; Penny na Balantanda..endeleeni tu kupigana 'sweet-talks' lakini mjue mkikorofishana nawafungulia thread yenu hapa hapa...!

Hahah Balantanda tangu amehook up na Penny naona amepotea amekuwa sio regular tena.
Haya mambo ya mayowe nyumba iwe na ceiling lakini mambo ya nyumba zisizo na darii mnaweza kumwagiwa maji ya moto au kurushiwa upupu bure. Inaonekana wengi humu kuibiwa rahisi lol eti akipiga YOWE mie mwili unaisha nguvu hahahah!!! You have made my day.
 
ha ha ha

...mnanikumbusha Kelly01 na Nyani Ngabu, na Couple nyingine; Penny na Balantanda..endeleeni tu kupigana 'sweet-talks' lakini mjue mkikorofishana nawafungulia thread yenu hapa hapa...!

Mbu usinichekeshe...huu usweet utaisha kama man utd watakutana fainali na chelsea kwenye uefa maana ni wapinzani..halafu tutarudi kwenye common jf name, sema mkuu bla bla....huh!
 
Mbu usinichekeshe...huu usweet utaisha kama man utd watakutana fainali na chelsea kwenye uefa maana ni wapinzani..halafu tutarudi kwenye common jf name, sema mkuu bla bla....huh!

Huwa tunabishana kwenye mipira lakini in bed were one body!! Kwa kifupi this is for real na tutawakaribisha wanaJF kwenye harusi no mchango....Bellies mwambie Mbu bwana....!
 
Huwa tunabishana kwenye mipira lakini in bed were one body!! Kwa kifupi this is for real na tutawakaribisha wanaJF kwenye harusi no mchango....Bellies mwambie Mbu bwana....!

Masanilo, Ya kweli hayo???? Hiyo harusi itafanyikia nchi gani??????
 
Bellie where are you! Njoo tutoe ushuhuda wetu hapa na wanaJF !

hehehe na wewe unataka ufanye practical hapa hapa mayowe siku zote ni wizi mtupu anakuibia tu....
mi nilichukua kitu kilikuwa ( . ) mi naelea tu alafu kinapiga mayowe nikamwambia acha kuniibia bana.
 
hehehe na wewe unataka ufanye practical hapa hapa mayowe siku zote ni wizi mtupu anakuibia tu....
mi nilichukua kitu kilikuwa ( . ) mi naelea tu alafu kinapiga mayowe nikamwambia acha kuniibia bana.

Kwani anapopiga mayowe huwa anaumia sana au huwa anafurahi sana?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…