Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
hehehe na wewe unataka ufanye practical hapa hapa mayowe siku zote ni wizi mtupu anakuibia tu....
mi nilichukua kitu kilikuwa ( . ) mi naelea tu alafu kinapiga mayowe nikamwambia acha kuniibia bana.
Mayowe wizi mtupu! Halafu kwenye studio (Vyumba za kupanga room moja moja) utakuwa unawasumbua watu. Ukiingia na mamaaa tu watu wanasogea kupata mayowe. Ni bora anayenung'unika kuliko wa mayowe. Bibiye ananena kwa lugha hata huielewi! Sasa sikiliza speed ya jamaa utafikiri panga boy (Fan) mazee! We acha bana!