Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
ukisikia wale wanao ziba pua anakuwa kama anamafua hivi akianza kulia ebwaneeee we acha tu .... wanajua sana kujifanya wanaumia eti inauma hehehe
Mafua ya nguruwe (H1N1) umepona? Mimi napiga jalamba hapa kuwahi urithi wetu uleeeeeeee