Ni kweli na Hatari sana aseee!Kutokana na sensa, Changamoto za maisha na huu utaratibu wa kuinpower upande mmoja,
Wanaume waliotayari kuoa pengine ni 35% hivyo kuna gap kubwa sana.
Wasipo badili utaratibu kuruhusu ndoa ya wake zaidi ya mmoja kama waislam; Jua tu, wanawake wengi watabakia bila kuolewa!
Vijana wa balehe ya kwanza utawajua kwa vinyuzi vyao.Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.
Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.
Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.
Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
Masharti yako magumuHope umejifunza sounds mpya we zilete tu
🙄na kwel,,huwezani na singo mazaMasharti yako magumu
Nakuzimia kichizi yaani🙄na kwel,,huwezani na singo maza
kam kwel niandalie uzi mwananaNakuzimia kichizi yaani
Niandalie kwanza wewe kama umekubalikam kwel niandalie uzi mwanana
😂😂😂😂,,, ntakubali nkiona uziNiandalie kwanza wewe kama umekubali
Mi naona ni mtego nianzishie kwanza😂😂😂😂,,, ntakubali nkiona uzi
Lakin nmekuwahiMi naona ni mtego nianzishie kwanza
Ntumie basi picha yako kwa pmLakin nmekuwahi
ata naweza sas 🙌🏾😄Ntumie basi picha yako kwa pm
Hiyo R ni nini?ata naweza sas 🙌🏾😄
jina langu linaanza na io letter RHiyo R ni nini?
Njoo pmjina langu linaanza na io letter R
🤣🤣🤣Njoo pm
😂😂Wapo wengi sana wanapatikana umri kati ya miaka 19 hadi 25. Utasikia "kwasasa mimi sipo tayari kuwa kwenye mahusiano wala ndoa, kwasasa nimefocus kufikia ndoto zangu"
Tafasiri yake ni "unataka na mwili wangu mbichi huu nikae ndani kama mdoli niwe na mwanaume m'moja wa ndoa niache kuliwa na wanaume tofauti tofauti nifurahie usichana wangu kwa raha, niache kupigwa mashine na kupelekwa viwanja vya bata vyote nikae na mtu m'moja? Ngoja kwanza niliwe nikishachoka nikiona mwili umeanza kuzeeka sasa ndio nitatulia nitafute bwege ambae hatani judge anioe nikatulie"
![]()
HeeeNdio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.
Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.
Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.
Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.