Mwanamke: Mtafute mumeo, usikae tu

fimboyaasali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
8,623
8,198
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.

Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.

Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.

Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
 
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.

Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.

Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.

Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
Itawasaidia hiyo
 
Ushauri mzuri na wa maana
Wachache watakuelewa
Dunia ya leo sio ile ambapo hata baba anamwambia jamaa yake kuwa unaonaje mwanangu amuoe binti yako?

Au Mama anaongea na mwingine na kumwambia mwanao kakua anahitaji mume na tunae
Ila siku hizi ni tofauti watoto hawataki kutafutiwa na matokeo yake anachagua kama nyanya akija kushtuka amegonga 40
 
Tukiachilia mbali kigezo cha umri, Hivi kuna wakati mwanamke anakuwa bado hayupo tayari kuolewa!?

Kama ni hivyo basi ni lazima wanawake waufanyiekazi huu uzi.

Maana me nnavyojua mwanaume ndiye anatakiwa kuwa tayari kuoa, maana yeye ndiye anahudumia familia.
Na mwanamke je anatakiwa awetayari kufanyaje?
 
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.

Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.

Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.

Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
In other words wa socialize, yes kukaa ndani tu kunakukosesha fursa nyingi
 
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.

Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.

Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.

Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
Bora umewasanua

Wnawake wengi wanadhani sisi wanaume tunapenda kuoa!!Tunapenda mapenzi yaani kupata tamu,sio kuoa!!

Kuoa kwetu ni pale tunapoona tumefika mwisho was starehe ndio tunaanza kufikiria Kwa mbaaali sana!mara nyingi tunajikuta ndoani bila hata kupanga!!

Ndoa ni majukumu,kuumiza kichwa,msongo wa mawazo,Hakuna mwaname anaependa hayo Bali tunalazimishwa na nature tuwe hivyo!

Wanawake wangejua kwamba wao ndio wanapenda kuolewa,wasingekua wanakaa tu wakisubiria wangepambana sana!!

Kwetu sisi ndoa ni kifungo ambacho tunaogopa kuingia,yaani ghafla unajiona kama baba was familia 3,ya kwako,kwenu na Kwa mke!!kazi sana!!

Ndio maana hata tukikolea vipi lakini tukiulizwa lini tunaoa tunaogopa kujibu!!!

NDOA NI KESI,MAHAKAMA,GEREZA KWA SISI WANAUME wanawake watambue hilo!
 
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.

Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.

Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.

Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
Hizi zote ni porojo, Ni Mungu pekee aliyeona hitaji la kuwa na mke au mume.

Na ndoa ni takatifu, utakatifu haujawahi kuwa wa mwanadamu.

Kama hujamshirikisha Mungu hiyo ndoa utakuja kuandika uzi humu ndani ukiwa huitaki ndoa tena.
 
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.

Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.

Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.

Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
Nakubali..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom