Mwanamke: Mtafute mumeo, usikae tu

Mwanamke: Mtafute mumeo, usikae tu

Nilikua nimeshasahau kama nilishakutongoza hadi nilipofungua pm
Hahahaha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ daaaah skutegemea hii reply
 
Tatizo wanachelewa sana hadi ule muda wa mapenzi chipukizi unakuwa umepita sanaa. Unakutana na mtu age imeenda ana mastress kibao ya maisha, uchumi, mahusiano, familia yake, hana life plan, yupo tu ni mwanamke ila hana uhalisia wa mwanamke.

Hapo ndipo shida inakuwapo. Wanaume matapeli wanatumia sana mwanya huu kuwatapeli hawa watu maana wanakuwa hawana focus nzuri tena wana mawenge. Akija mwanaume mstaarabu wanamuona tapeli maana hawajui quality za mwanaume bora wamezoea kupigwa matukio.

Akija mpigaji wanaruka nae sababu wanapenda ule uongo uongo una sukari nyingi na ni mtamu sana.
 
Tukiachilia mbali kigezo cha umri, Hivi kuna wakati mwanamke anakuwa bado hayupo tayari kuolewa!?

Kama ni hivyo basi ni lazima wanawake waufanyiekazi huu uzi.

Maana me nnavyojua mwanaume ndiye anatakiwa kuwa tayari kuoa, maana yeye ndiye anahudumia familia.
Na mwanamke je anatakiwa awetayari kufanyaje?
Wapo wengi sana wanapatikana umri kati ya miaka 19 hadi 25. Utasikia "kwasasa mimi sipo tayari kuwa kwenye mahusiano wala ndoa, kwasasa nimefocus kufikia ndoto zangu"

Tafasiri yake ni "unataka na mwili wangu mbichi huu nikae ndani kama mdoli niwe na mwanaume m'moja wa ndoa niache kuliwa na wanaume tofauti tofauti nifurahie usichana wangu kwa raha, niache kupigwa mashine na kupelekwa viwanja vya bata vyote nikae na mtu m'moja? Ngoja kwanza niliwe nikishachoka nikiona mwili umeanza kuzeeka sasa ndio nitatulia nitafute bwege ambae hatani judge anioe nikatulie"

 
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.

Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.

Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.

Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
Ukiona mtu anakosa mke/mume mtaani mpka akaenda church kumtafuta bas anashida
 
Hahahaha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ daaaah skutegemea hii reply
Vipi nipige verse ya pili au ile moja inatosha?
 
Nadhani ifikie mahali serikali itunge sheria ya kulazimisha vijana waliofikia umri wa kuoa waoe! Vikundi na vyama vya "Kataa ndoa" vivunjwe na kupigwa marufuku.
Wanawake wengi wanatamani kuolewa lakini Vijana wa kiume hawataki kuoa!
 
Ushauri mzuri na wa maana
Wachache watakuelewa
Dunia ya leo sio ile ambapo hata baba anamwambia jamaa yake kuwa unaonaje mwanangu amuoe binti yako?

Au Mama anaongea na mwingine na kumwambia mwanao kakua anahitaji mume na tunae
Ila siku hizi ni tofauti watoto hawataki kutafutiwa na matokeo yake anachagua kama nyanya akija kushtuka amegonga 40
tujitahidi kuwashauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom