Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Inategemea na uliye nae kwenye ndoa mwanaume kama wew lazima ndoa kwangu iwe zaidi ya SubiriKama ni utumwa we baki single tu. Ndoa usiitake kabisa maana ina changamoto sana japo ni tamu na inaleta hadhi na heshima ukiwa nayo!


