Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
- Thread starter
- #21
Uuuuwi๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ mm wa mkoani ngoja nitoke
Uuuuwi๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ mm wa mkoani ngoja nitoke
Nenda youtube utajuaUna chura?
Angalau upate asilimia 60 mpaka 70Ngumu sana kupata kilakitu kwenye haya maisha
Rudia kusoma uzi naona hujaelewaKwahiyo unatushauri tuchukue vituko mtaani kitandani wazuri
Sawame nimeuliza swal, cjakarir jinsia ya mtu.
Kwan mnakataliwaga hampewi auMke ajue wajibu wake tu kuwa tunda kutoa ni lazima
Kuna ambao wabishi kutanua vipago. Analeta sababu za kijinga kama kuchoka kila saa kama vile sie tunatumia mabetri!Kwan mnakataliwaga hampewi au
Sa kachoka si umwelewe mkeo doh we mbona mkatili ivoKuna ambao wabishi kutanua vipago. Analeta sababu za kijinga kama kuchoka kila saa kama vile sie tunatumia mabetri!
Kuchoka kila siku? Unaeza muelewa mtu mara moja ila akifululiza ni keroSa kachoka si umwelewe mkeo doh we mbona mkatili ivo
Haya mambo yetu sisi wakubwa ni mazito, watoto humu wakisikia mke kutoa tunda , watakuuliza , parachichi au topetope ?Kuna ambao wabishi kutanua vipago. Analeta sababu za kijinga kama kuchoka kila saa kama vile sie tunatumia mabetri!


..., Anyway , mimi ndio nashuka ghorofa moja niende bafuni kutoa jasho, kisha nipate mtori na bia mbili, ni staili yangu ya kutoa lock..Hahahah wanatakiwa waelewe aina za matunda kwanzaHaya mambo yetu sisi wakubwa ni mazito, watoto humu wakisikia mke kutoa tunda , watakuuliza , parachichi au topetope ?..., Anyway , mimi ndio nashuka ghorofa moja niende bafuni kutoa jasho, kisha nipate mtori na bia mbili, ni staili yangu ya kutoa lock..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu point yangu ni kwamba tendo ni hiyari sio lazima so kwa kuwa umeoa ni lazima tendoSasa kama utumwa umekubali kuolewa ili iweje? Unadhani nmeoa uje kunipikia mavyakula na kunifulia tu?
Huo ni Utumwa wa ndoa.Hahahah wanatakiwa waelewe aina za matunda kwanza
Ndio hapo sasa, maana hata kamusi ya kiswahili, haidadavui ki hivyo yahitaji IQ ya juu kulifahamu na kulielezea hili tunda pendwa..Hahahah wanatakiwa waelewe aina za matunda kwanza



Ndio maana walisema ukikubali kuolewa marufuku kulala huku umepigilia kufuli...Huo ni Utumwa wa ndoa.



Hahahaha aiseee hata kama akili haiwazi tendo ni lazima kutenda sio huu ni UtumwaNdio maana walisema ukikubali kuolewa marufuku kulala huku umepigilia kufuli...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tendo ni hiari ukiwa kwa babaako mzazi aliekuzaa tu. Ukishavaa pete na watu wakala pilau kudhihirisha kuwa we ni mke wa mtu kulala bila chupi sio jambo la kuhoji. Utabiduliwa mda wowote hata usiku wa manane. Jiandae kisaikolojia usije kushindwa kumudu ndoa. Ukiolewa tendo ni must japo tuta apply busara inapohitajika. We unataka mumeo akagonge kituo cha polisi au?Mkuu point yangu ni kwamba tendo ni hiyari sio lazima so kwa kuwa umeoa ni lazima tendo
Binti bado hajapevuka.Ndio maana walisema ukikubali kuolewa marufuku kulala huku umepigilia kufuli...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni utumwa we baki single tu. Ndoa usiitake kabisa maana ina changamoto sana japo ni tamu na inaleta hadhi na heshima ukiwa nayo!Huo ni Utumwa wa ndoa.
Umejuaje kama sijaolewa mkuu? Ndoa ni zaidi ya tendo yaani hata mkeo akiwa kwenye usingizi mzito unampanda kama farasi kisingizio umeoa naludia tena huo ni UtumwaTendo ni hiari ukiwa kwa babaako mzazi aliekuzaa tu. Ukishavaa pete na watu wakala pilau kudhihirisha kuwa we ni mke wa mtu kulala bila chupi sio jambo la kuhoji. Utabiduliwa mda wowote hata usiku wa manane. Jiandae kisaikolojia usije kushindwa kumudu ndoa. Ukiolewa tendo ni must japo tuta apply busara inapohitajika. We unataka mumeo akagonge kituo cha polisi au?