Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,852
- 16,750
Hii misemo imepitwa na wakati, eti mwanamke mmoja hawezi tumikia mabwana wawili, tuongee, ila mwanaume hawezi/ anaweza kutumikia wanawake wangapi? Limitless, mbona najua kuna wanawake wana zaidi ya 3 men, & anatoa service na si changu.
Hii misemo kama
1. Aliye juu msubiri chini....no mfuate huko huko juu, asipo shuka, alaaaah
2. Boss is always right... Heee, how..? niwataje....
3. Haya ni maoni yangu binafsi si msimamo wa chama/serikali ........ Na huyo ndiye msemaji mkuu....
4.Mwanamke nyonga, t.ak.o hii sawa, uso je...!!!! Sasa mbona saloon wanahangaika na uso, kichwa tu?
Jazieni mengine........
Hii misemo kama
1. Aliye juu msubiri chini....no mfuate huko huko juu, asipo shuka, alaaaah
2. Boss is always right... Heee, how..? niwataje....
3. Haya ni maoni yangu binafsi si msimamo wa chama/serikali ........ Na huyo ndiye msemaji mkuu....
4.Mwanamke nyonga, t.ak.o hii sawa, uso je...!!!! Sasa mbona saloon wanahangaika na uso, kichwa tu?
Jazieni mengine........