Mwanamke, kumchuna mumeo ni sawa na kujiibia mwenyewe!

Mwanamke, kumchuna mumeo ni sawa na kujiibia mwenyewe!

Ukiona mwanamke anamchuna mume wake ujue keshaona huna futere nae hivyo anakukomoa
 
Huu uzi uko pande zote kuna wanaume pia majanga anaushauri wa kijinga jinga tu ambao hauna tija,wadada nasi tukae macho kuna mjinga aliniambia ninunue Boda nikauchuna nikaenda buy kiwanja nikajua eeh kumbe wanaume wengine bwege kabisa.
 
Tutawachuna sana. Maana unaweza ukajibana wee kesho unatumuliwa anafaidi Mwingine,wanaume ni kama kifurushi cha mavi.
Hahahaa, aisee haha imebidi nicheke,sikupanga kucomment hii thread..teh
 
Huu uzi uko pande zote kuna wanaume pia majanga anaushauri wa kijinga jinga tu ambao hauna tija,wadada nasi tukae macho kuna mjinga aliniambia ninunue Boda nikauchuna nikaenda buy kiwanja nikajua eeh kumbe wanaume wengine bwege kabisa.
Alikushauri tu kwa mtazamo wake,hakukulazimisha wala kukuchuna bidada,punguza lawama...
 
Alikushauri tu kwa mtazamo wake,hakukulazimisha wala kukuchuna bidada,punguza lawama...
Unamtetea wa nini unataka kila detail hapa,we kua makini ushauri mwingine unapoteza,kikubwa kujiongeza.
 
Unamtetea wa nini unataka kila detail hapa,we kua makini ushauri mwingine unapoteza,kikubwa kujiongeza.
Sawa asante, lakini pia nikushauri usimshirikishe mwanaume mambo yako wewe mpe taarifa tu kuwa kitu flani kimefanyika,huwa wanaushauri tofauti na unachotarajia,in short wanakatisha tamaa
 
Mawazo mazuri. Tatizo wanawake wengi wapo kwenye ndoa kutimiza wajibu. Hawana malengo ya muda mrefu. Hawajiamini kudumu hapo, hata hatima ya watoto haiwahusu. 'Atajiujua yeye na watoto wake' ni maneno ya mwanamke, utadhani ni watoto wa kufikia.
kweli kabisa mpendwa wengi wako kwenye ndoa mguu mmoja nje mwingine ndani
 
Akikua ataelewa. Si unajua watazamaji mafundi kuliko kocha na wachezaji?
mwanaume majukumu bwana!
Nani kasema?
Nibane matumizi huku nje ana kimada anampa huduma zote.
Wanaume wenyewe nyie maji kupwa maji kujaa?
Bora hata yule member kule juu aliyejisemea mambo haya kwa wazungu....sie wa kibongo tushatia pamba kutokana na kasumba zenu.
 
Akikua ataelewa. Si unajua watazamaji mafundi kuliko kocha na wachezaji?
mwanaume majukumu bwana!
Umeona eeee King'asti, mwanaume hakimbii vita bali anapambana navyo, sie watazamaji ndo huona zaidi makosa ya wachezaji wetu walioko ndani ya uwanja.
Na kweli, akikua ataelewa tu
 
Back
Top Bottom