Mwanamke, kumchuna mumeo ni sawa na kujiibia mwenyewe!

Mwanamke, kumchuna mumeo ni sawa na kujiibia mwenyewe!

Kama mwanamke anachepuka basi jua hatimiziwi kimwili......mwanamke akufuata pesa, gari wala nyumba kwako, alikuwa na kila kitu kabla hujamuoa......sasa kama unamtimzia kila kitu na kitandani performance ni zero hapo lazima house boy au shamba boy au huyo dereva uliyesema ajazie yale mapungufu ambayo humpatiii.
Wanaume mnakosea sana mnaposema kuwa 'huyu mwanamke nampa kila kitu, gari zuri, nyumba nzuri, pesa za kutosha' ila kumbuka kilichomtoa kwao kuja kwako sio hivyo vitu bali ni wewe....kama ni zero basi kaa mkao wa kusaidiwa na hao mahouse boy.


Muwe mnasema kama hamridhishwi sio unakaa kimya halafu mnaishia kuchepuka. Mjulishe aelewe kwamba bwana hufikagi
 
Hata ukimtimizia mahitaji yote ya kimwili, mwanamke akitaka kuchepuka, atachepuka sana tu (labda awe mlokole wa kweli), im speaking from experience...@Pendaneni Hlf wewe Heaven Sent mbona inaonekana una hasira sana na wanaume
 
Hata ukimtimizia mahitaji yote ya kimwili, mwanamke akitaka kuchepuka, atachepuka sana tu (labda awe mlokole wa kweli), im speaking from experience...@Pendaneni Hlf wewe Heaven Sent mbona inaonekana una hasira sana na wanaume
Mmh mpendwa mbona sijacomment kitu humu?
Mistaken identity....miaka yote nipo JF sijawahi kuona comment ya Heaven Sent inayoonyesha hasira.
 
nyooooooo mtu anaondoka na wallet imejaa hela jioni akirudi anaanza kulalamika ooh sina hela kabisa yaani sijui hivi na vile, ukiuliza zile hela za jana zimekwenda wapi anasema mara ooh sijui nani aliazima, mara sijui imepanda imeshuka, mwezi unakata hauoni kitu kinafanyika si bora kuchuna tu na kuiba kwenye wallet.... treat me like a queen I'll treat you like a king.
 
Naongea hivi maana wanawake wengi wa leo tunashindwa kutofautisha mume na mtu mpita njia au kwa maneno mengine mtu usie na uhakika nae kwamba mtaishi wote kama mume na mke.

Unakuta mwanamke keshaolewa badala ya kumshauri mume wake wajenge future yao ya baadaye na watoto wao, eye ndo kwanza yuko busy anataka wigi la laki sita, anataka viatu vya laki 3, anataka Iphone, nguo za Woolworth, starehe kwa sana na kushughulikia vya tumbo tu anasahau wako kwa nyumba ya kupanga wala hana habari.

Simaanishi kwamba wanawake waume zenu wasiwapendezeshe but acheni kudemand vitu visivyo na tija badala ya kujenga future yenu. Mambo ya kucompete na mashost zako so nawe unataka uonekane umo unamgeuza mumeo buzi wakati ni mume wacha.

Mwanamke bana matumizi vizuri, weka mahesabu yako sawasawa, mshauri mumeo mfanye mambo ya maana achana na mawigi ya laki 6, kufanya showoff wakati hamna nyumba maana kesho watoto hawatalala kwenye hilo wigi la laki 6.

Umeshaolewa maana yake mko na huyo mumeo kujenga kesho yenu itayokuwa the best.
Wachaneni na vitu visivyo na maana pindi mkishaolewa, msaidie mumeo kujenga future yenu na sio kumchuna maana ni sawa na unajiibia mwenyewe.
Safi sana, ujumbe mzuri!
 
Nawasiwasi na wanaochunwa,kama kweli ni mume na mke na wanawekana wazi kwa kila kitu na mipango wanapanga pamoja unaanzia wapi kumchuna ?huruma hata chembe utakuw huna,isitoshe pesa inayopatikan ni kwa faida ya familia,japo wanawake kila mmoja anautofauti wake na wapo wa hivo,piaa ni kutojitambua na kutojikubali na kutaka mambo makubwa kupita uwezo wa mume.
 
Kama mwanamke anachepuka basi jua hatimiziwi kimwili......mwanamke akufuata pesa, gari wala nyumba kwako, alikuwa na kila kitu kabla hujamuoa......sasa kama unamtimzia kila kitu na kitandani performance ni zero hapo lazima house boy au shamba boy au huyo dereva uliyesema ajazie yale mapungufu ambayo humpatiii.
Wanaume mnakosea sana mnaposema kuwa 'huyu mwanamke nampa kila kitu, gari zuri, nyumba nzuri, pesa za kutosha' ila kumbuka kilichomtoa kwao kuja kwako sio hivyo vitu bali ni wewe....kama ni zero basi kaa mkao wa kusaidiwa na hao mahouse boy.
Mh! Basi wanawake kama ni hivyo kazi IPO! Visingizio kibao! Kwa mume mwenye pesa mkewe atadai hatimiziwi kitandani hivyo kujihalalishia mchepuko! Kwa mwanamume asiye na pesa mkewe atadai hatimiziwi mahitaji muhimu kama vile gharama za saloon hivyo kujihalalishia pia mchepuko! Wana visingizio hivyo kwa sababu jamii haina namna ya kuthibitisha madai ya wake wachepukaji!
 
Mawazo mazuri. Tatizo wanawake wengi wapo kwenye ndoa kutimiza wajibu. Hawana malengo ya muda mrefu. Hawajiamini kudumu hapo, hata hatima ya watoto haiwahusu. 'Atajiujua yeye na watoto wake' ni maneno ya mwanamke, utadhani ni watoto wa kufikia.
 
Back
Top Bottom