Acha kujishaua.
Nani hapa anauwezo wa kugegeda miezi 3 ile serous relationship na condom?
wengi wenu mara 4 ya ukishajua na kuzoeana mwenyewe unaitula.
Huo ukimwi wenyewe mnaambiwa mkishapima mrudi baada ya miezi 3 kupima tena.Wengi wenu mkitoka angaza na majibu ndo sherehe ya kugegedana usiku mzima kavukavu mmesahau mlivyoambiwa chumba cha kupima.
Acha kujishaua.
Nani hapa anauwezo wa kugegeda miezi 3 ile serous relationship na condom?
wengi wenu mara 4 ya ukishajua na kuzoeana mwenyewe unaitula.
Huo ukimwi wenyewe mnaambiwa mkishapima mrudi baada ya miezi 3 kupima tena.Wengi wenu mkitoka angaza na majibu ndo sherehe ya kugegedana usiku mzima kavukavu mmesahau mlivyoambiwa chumba cha kupima.
iiiiiiiiiwe? nogimanya katerero?
bagusherera tayari?
cc KOKUTONA kwa tafsiri!
nakugambila nakukunda, but you didnt answer!
hao uliowagegeda bila condom walikuambiaje?
Inanoga sana.
We toka lini ukamumusa pipi ya kijiti na ganda?
Tunakataa kutumia condom kwasabab utamu unapungua
Ni baadhi ya mabinti wengi hukataa kutumia condom.
hii ipoje.
} Kumwamini sana mwanaume
} Kumwonesha upendo wa dhati mwanaume
} Wanapata xana maumivu pindi watumiapo weza wao
hii ipoje? wadau
dah kumbe condom inazuia utamu... nilikua silijui hili!!!
Ndio ivo kama ulikua ujui
tutatafuta condom za asali utamu uzidi kubaki... af zingine zina tuupele upele niliambiwa zinasaidia kukuna eti
Wengi huwa wanasema zinawawasha eti. Nawapongeza changudoa wapo makini sana na condom