Mwanamke kukataa kutumia kondom

Mwanamke kukataa kutumia kondom

Maana ya ya matumizi ya condom haipo tena.
..Vijana wa siku hizi kazi kutafuna pap.uchi kama bubblish, then wanavaa condom, kama ni kuzuia HIV sidhani...
..Mie ukishasema condom, navaa bxer yangu..!

Hahahahaa...mie pia mkuu afu naweka uso wa mbuzi hakuna kusemeshana hadi anaachia!
 
Ni baadhi ya mabinti wengi hukataa kutumia condom.

hii ipoje.

} Kumwamini sana mwanaume

} Kumwonesha upendo wa dhati mwanaume

} Wanapata xana maumivu pindi watumiapo weza wao
hii ipoje? wadau

Kweli katiba itapatikana watu wake wanawaza ngono kila siku
 
Ni baadhi ya mabinti wengi hukataa kutumia condom.

hii ipoje.

} Kumwamini sana mwanaume

} Kumwonesha upendo wa dhati mwanaume

} Wanapata xana maumivu pindi watumiapo weza wao
hii ipoje? wadau

Fangax jmn tena ndo umpate anayefanya kazi kitengo cha afya akawa anakuja na zile za MSD ndio baaax tena papuchi kwishaaa fangax ndio umehamishiwa.
 
Ni baadhi ya mabinti wengi hukataa kutumia condom.

hii ipoje.

} Kumwamini sana mwanaume

} Kumwonesha upendo wa dhati mwanaume

} Wanapata xana maumivu pindi watumiapo weza wao
hii ipoje? wadau

Acha kuwa na wengi.. problem solved
 
Ukiona mdada au mkaka anakata kuvaa condom lazima ipo namna tena nguo yako haraka sana.... Hakuna cha nakuaminii wala nakupenda kwa Dhati......
 
Zenu kubwa.
CC: Mkuzi.
Tatizo lako kama
langu ila jaribu kutumia zile Kamasutra, toka India kidogo huwa
zinanifaa ila kwa kuforce sana. Home made condoms ni vidogo sana.
Ukiforce hukawii kukipasua.
 
Hakyanani hawa viumbe wanapenda kuchunguliana vikojoleo pekupeku, na hivi tumepata gas basi faida itapelekwa kuongeza bajeti ya vidonge
 
Back
Top Bottom