Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
Heheheeeeeeeee uczisingizie kondom weye
hahhaha ndo hivyo... zimejaa upele tu full kukunwa umo ndani!!!!
Heheheeeeeeeee uczisingizie kondom weye
ayayayaaa! hiyo bold si neno zuri amu! lol...Nogimanyile kateroro tu gulio tomorrow&nogimanyile buzi kwa machumu.
unataka kundunda.
(Bagusherera hope si tusi ngoja ntafute maana)
Wengine baada ya tendo zinawawasha balaaNi baadhi ya mabinti wengi hukataa kutumia condom.
hii ipoje.
} Kumwamini sana mwanaume
} Kumwonesha upendo wa dhati mwanaume
} Wanapata xana maumivu pindi watumiapo weza wao
hii ipoje? wadau
Mtoto unajua kuelezea ww, hebu ni PM kwanza nikwambie kitu.
Mh, nahisi jina lako litamtisha vile!
mimi huwa condom zinanibana sijui kwanini hawaweki extra large
Za serikali zinakuwa hivyo sijui kwaninimimi huwa condom zinanibana sijui kwanini hawaweki extra large
iiiiiiiiiwe? nogimanya katerero?
bagusherera tayari?
cc KOKUTONA kwa tafsiri!
nakugambila nakukunda, but you didnt answer!
Mh, nahisi jina lako litamtisha vile!
Inanoga sana.
We toka lini ukamumusa pipi ya kijiti na ganda?
:llama::llama::llama::llama::llama:Utakulaje pipi na ganda lake bwana????
Condom muhimu aiseee