Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hakyanani hawa viumbe wanapenda kuchunguliana vikojoleo pekupeku, na hivi tumepata gas basi faida itapelekwa kuongeza bajeti ya vidonge
Mimi tu ndo sipendi
Hakyanani hawa viumbe wanapenda kuchunguliana vikojoleo pekupeku, na hivi tumepata gas basi faida itapelekwa kuongeza bajeti ya vidonge
Hahahahaa...mie pia mkuu afu naweka uso wa mbuzi hakuna kusemeshana hadi anaachia!
Tunakataa kutumia condom kwasabab utamu unapungua
Ukiona utamu unapungua, chukua kondom ipake sukari kama kilo mbili kabla hamjaanza kugegedana.
Hii mada natamani nisingekutana nayo
Acha kujishaua.
Nani hapa anauwezo wa kugegeda miezi 3 ile serous relationship na condom?
wengi wenu mara 4 ya ukishajua na kuzoeana mwenyewe unaitula.
Huo ukimwi wenyewe mnaambiwa mkishapima mrudi baada ya miezi 3 kupima tena.Wengi wenu mkitoka angaza na majibu ndo sherehe ya kugegedana usiku mzima kavukavu mmesahau mlivyoambiwa chumba cha kupima.
Kwanini? Nawewe ni mwana chama?
Hahahaha nina allergy na mipira
Hahahaha nina allergy na mipira
una allergy na mipira gan navyo jua mm condom hazna mazara yyote
Acha kujishaua.
Nani hapa anauwezo wa kugegeda miezi 3 ile serous relationship na condom?
wengi wenu mara 4 ya ukishajua na kuzoeana mwenyewe unaitula.
Huo ukimwi wenyewe mnaambiwa mkishapima mrudi baada ya miezi 3 kupima tena.Wengi wenu mkitoka angaza na majibu ndo sherehe ya kugegedana usiku mzima kavukavu mmesahau mlivyoambiwa chumba cha kupima.
Hahahaha nina allergy na mipira
mambo yote wizauti ndio mpango mzima
Ya Ice Cream....hhhaammm na tena! hhhaaaammmmm
Nafikiri kavu inanoga zaidi ndo maana hawataki uvae