Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,522
Malizia basi nahisi kuna ziada apo umeachakuna rafiki yangu flani hivi alikuwa analaza watu room kwake na mumewe wanalala watatu yaani .acha tu
Malizia basi nahisi kuna ziada apo umeachakuna rafiki yangu flani hivi alikuwa analaza watu room kwake na mumewe wanalala watatu yaani .acha tu
Bola nusu utam kuliko utam wa majutobora kwa condom kuliko kufanya huku unaogopa magonjwa na mimba hapana hata hamu hupotea
Kwani ulimuonja?wala jamaa yupo tu vizuri
kitovu kichulie ndo nini tena mkuu?Paja bhanaaa dah au kitovu kichulie vina shawishi sana
kabisaBola nusu utam kuliko utam wa majuto
hahahahahhaahha Kaboom katika ubora wako sio?Ndo ilikuwa nia yangu baada ya kuona juhudi za kumkanya zinagonga mwamba..Hao wanakuwa kama wanapigia mstari
hodi la zimaAwe anapga hodi tu isije siku akukute anatafua cha asubuhi ndo umeukalia huku unaweweseka ha ha haaa
kapitiliza huyu bora aibiwe apate akiliUmeona eeh?mana huyu mwenzio hajielewi nazani mashoga mpka pakalala khaa
Au sio bhana chumbani kwa wenyewe bila woga uliwe tuanitafune tu hakuna namna
Kwa utulivu wako atapewa kesi ya kutaka kubaka sasa anataka kufuta ushahidi ha haHa ha ha mie nakusaidia kupunguza kesi shaur yako
"Kuingia kwa appointment..."mimi chumba changu na mahabuba wangu hata msichana wa kazi haingii, pia mtoto akifikisha 2yrs chumbani kwangu atapaona Ikulu, kuingia ni kwa appointment.
teh teh
Huyu dem hajui tabia zao huyo watamtia adab na ataomna ahame na mtaa ha ha haaaaHa ha ha umeona kama kaweka mtama vile kuku anaingia mwenyewe shimon
Kichungulie mkuu pole kwa usumbufukitovu kichulie ndo nini tena mkuu?
Naamhodi la zima
Swali ni hili: Kwanini hujawatafuna?Mke anaingiza mashosti zake hadi kwenye chumba chenu cha kulala.
Hivi ukiwatafuna hao mashosti zake unakuwa na kosa kweli?
Eti umesema???
hahahha hongera sanaSiyo hivyo, nimebadilika kabisa kwa kweli, mimi mwenyewe nimeona mahali nilikokuwa naelekea siyo kuzuri.
ndioooo si kaniingiza mwenyeweAu sio bhana chumbani kwa wenyewe bila woga uliwe tu