Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ni wiki ya nne tokea kuanza kumtia machoni. Wiki mbili tokea kumuona niliamua kumfungukia kuwa nampenda, yalinivuja maneno ya kila aina, pindi aliponipatia nafasi tu, niligandamizia misumali ikafikia wakati akakosa cha kujibu
Binafsi kuna muda huwa nashindwa kupata uvumilivu hasahasa pale mwanamke anapokuwa kwenye sexual appearance ya mavazi au mkao. Kuna siku nilijikuta nimemkamatilia kiuno huku nikimuimbisha. Alijibu kwa kucheka cheka huku akijaribu kuving'oa viganja vyangu vikivyosimikwa kiunoni kwake pasi na mafanikio, akaamua kuita mashosti wake kwa usaidizi zaidi. Akili kumkichwa, nikaona kwa utoto huu, hapa siwezi pewa mbususu
Siku mbili baadae nikamkuta akiwa anadeki huku akiwa ndani ya kanga moko. Nilishindwa kuvumilia nikajikuta nimemvaa kiutani na kujaribu kuforce kumbato ambalo nilikuja kulipata dakika ya mwisho japo kwa mbinde. Nilipoforce nimpatie japo busu la shavuni, akarudia utoto wa kuita majirani kwa nguvu. Nikaamua kuzama kwenye chumba changu
Kesho yake asubuhi, huyu mwanamke aliamka na matusi ya kila namna kwangu huku akianza kunitishia habari za mumewe ambaye sijawahi hata kumuona. Nikaamua kumpotezea
Siku kama tatu mbeleni, huyu mwanamke akaanzisha mazoea japo nilipojaribu kujitutumua hakuhitaji kabisa niwe karibu yake. Mpaka sasa kaniacha njia panda wakuu. Ni kama vile anaelekea elekea, kila nikipiga hatua anajeuka.
Hapa kuna mbususu kweli au napoteza muda?
Ni wiki ya nne tokea kuanza kumtia machoni. Wiki mbili tokea kumuona niliamua kumfungukia kuwa nampenda, yalinivuja maneno ya kila aina, pindi aliponipatia nafasi tu, niligandamizia misumali ikafikia wakati akakosa cha kujibu
Binafsi kuna muda huwa nashindwa kupata uvumilivu hasahasa pale mwanamke anapokuwa kwenye sexual appearance ya mavazi au mkao. Kuna siku nilijikuta nimemkamatilia kiuno huku nikimuimbisha. Alijibu kwa kucheka cheka huku akijaribu kuving'oa viganja vyangu vikivyosimikwa kiunoni kwake pasi na mafanikio, akaamua kuita mashosti wake kwa usaidizi zaidi. Akili kumkichwa, nikaona kwa utoto huu, hapa siwezi pewa mbususu
Siku mbili baadae nikamkuta akiwa anadeki huku akiwa ndani ya kanga moko. Nilishindwa kuvumilia nikajikuta nimemvaa kiutani na kujaribu kuforce kumbato ambalo nilikuja kulipata dakika ya mwisho japo kwa mbinde. Nilipoforce nimpatie japo busu la shavuni, akarudia utoto wa kuita majirani kwa nguvu. Nikaamua kuzama kwenye chumba changu
Kesho yake asubuhi, huyu mwanamke aliamka na matusi ya kila namna kwangu huku akianza kunitishia habari za mumewe ambaye sijawahi hata kumuona. Nikaamua kumpotezea
Siku kama tatu mbeleni, huyu mwanamke akaanzisha mazoea japo nilipojaribu kujitutumua hakuhitaji kabisa niwe karibu yake. Mpaka sasa kaniacha njia panda wakuu. Ni kama vile anaelekea elekea, kila nikipiga hatua anajeuka.
Hapa kuna mbususu kweli au napoteza muda?