Unajua katika maisha kuna watu wapo kufuata mkumbo tu akifika kwa mama ntilie eti unatafuta tu nguvu za kiume unaomba dona, dona la mtaani ni hatari kwa afya yako kwa taarifa yako.Mahindi yanatiwa dawa sasa nakuuliza how far are you sure that kama mahindi yalioshwa.Dona kula nyumbani kwako ambako una uhakika mahindi yameoshwa