Mwanamke huyu utamlaumu?

me nauliza, mke alipoona unyumba una adimika alizungumza na mumewe au alienda kanisan kw padri kueleza hayo??
Alijichukulia maamuz kichwan mwake...!
 
me nauliza, mke alipoona unyumba una adimika alizungumza na mumewe au alienda kanisan kw padri kueleza hayo??
Alijichukulia maamuz kichwan mwake...!
No retrity no...........:..........to sarender!!
 
Mi namlaumu vile vile.Kumbe uwezekano wa mwanaume kukubaili kosa lake na kujirejea ulikuwepo but akapuuzia na kuamua kucheat? Kwa nini hakupeleka hilo tatizo kanisani ili watatue shida, akaamua kujitatulia mwenyewe kwa njia zisizo halali?
 
Mtazamo wako huu!

Mbona unatetea vitu ambavyo hata haviingii akilini? Yaani unamkuta mtu kifuani kwa mwenza wako tena nyumbani kwenu halafu ati maamuzi yazingatie mazingiraah daaah, mbona haya masihara sana. Kati ya maamuzi ambayo hayahitaji 3rd part ni haya, maamuzi ni hapo hapo bila kujali mazingira.
 
Lazima alaumiwe kwanini alisubiri mpaka afumaniwe ndio waende kanisani ingetakiwa aende kanisani akutane na mzee wa kanisa ampe malalamiko yake kwamba mume wake hampi haki yake ya ndoa kabla ya kufanya huo upuuzi wake
 
Mbona unatetea vitu ambavyo hata haviingii akilini? Yaani unamkuta mtu kifuani kwa mwenza wako tena nyumbani kwenu halafu ati maamuzi yazingatie mazingiraah daaah, mbona haya masihara sana. Kati ya maamuzi ambayo hayahitaji 3rd part ni haya, maamuzi ni hapo hapo bila kujali mazingira.

Narudia tena mtazamo huu!
 
Canta,unapokua na tatizo kumbuka akili haifanyi kazi vizuri,lakini unapokosea linakua ni kosa,kinachotakiwa ni kuangalia mazingira ya kosa kisha mengine yanafuata!

Tatito co akili kutofanya kazi vizuri,ukilitambua tatizo na kulifanyia kazi tangu mapema inasaidia kuliko kusubiri hali ishakua ngumu ndio unahangaika!huyu mama nitamlaum mpaka mwisho alikua na nafac ya kupata msaada kutoka kwa watu wengine ambao wangeongea na mumewe kuliko kukimbilia kuzin.
 
Canta,ninachosema sio kwamba huyu mama hana makosa ila kosa halijaanzia kwake,yaani amesababishwa akosee,mihemko hasa ya kihisia humfanya mtu ashindwe kufikiri jambo rahihi la kufanya!
 
Canta,ninachosema sio kwamba huyu mama hana makosa ila kosa halijaanzia kwake,yaani amesababishwa akosee,mihemko hasa ya kihisia humfanya mtu ashindwe kufikiri jambo rahihi la kufanya!
Hilo wala hujanishawishi Eiyer,
Km kaona mumewe anakosea ndio na yeye aamue kukosea kwa vile mumewe kaanzisha?
Jamani jamani hv kweli km ingekuaga ndio hivo kwa namna asilimia kuwa ya wanaume walivo wanzinzi so na wanawake nao wae wazinzi kwa vile mume kaanza kuwa mzinzi?
No way huu ushauri wako au hili unalotaka nikuelewe naomba nisamehe bure,kamwe sitakubaliana nalo!!!
Huyo mama ndio mwenye makosa kbs,kwan alwayz haangaliwi aliyeanza bali aliyeendeleza na kulete matokeo mabovu!piriod.
 
Wote wana makosa,
Ila kwa hili namlaum zaidi mke,
Tunaamin siku no matter wat hata km wanaume ndio vichwa vya familia but lzm kichwa kishikiliwe na shingo,
Km mke ameona hapewi haki ya ndoa suluhisho sio kutafuta bwana,
Kwann hakuenda japo kushitaki kwa hao viongozi wa dini kuliko kwenda kujiabisha kwa kujielezea 7bu za uzinzi wake?
KM imetokea amejua mapungufu ya mumewe angetafuta njia halali kurekebisha sio kufanya jambo akidhan anamkomoa kumbe anajidhalilisha mwenyewe.

penye red pagumu hapo.
unajua suala la ngono(sex) la ajabu unaweza kumwambia kiongozi wa dini akakutamani.au ndugu,mshenga akakutaka pia.suala ni kila mtu atimize wajibu wake.baba akinyimwa unadhani atafanya nini?
 
akili ya kwenda kwa padri kwa nini hakuitumia kabla hajafikia hiyo extreme?
Kwanza she is selfish, yaani mume anamenyeka hivo na kujichokea badala ya kuzungumza naye wapate suluhu, yeye akaona ampe kitumbua mtu mwingine....malabuku!
 
Kumbe wakati mwingine unaweza ukamsababisha mwenzi wako akakucheat!Sikia hii,.Mke ni mhasibu wa shirika la umeme tanzania Tanesco,mkoa wa Tabora(sio jina sahihi).Mumemi mwajiriwa serikalini,mume huyu amekua bize sana kiasi kwamba kumpata nyumbuni ni bahati labda usiku kuanzia saa 6 usiku.Kwa maelezo ya mkewe ni kwamba mumewe akifika huwa amechoka sana na wakati mwingine hali chakula ambacho mkewe hujitahidi kukipika hata kama nae huwa bize kiasi gani,amejiwekea utaratibu chakula cha usiku lazima apike yeye.Siku ya tukio mumewe alikua amesafiri kwa muda mwezi na nusu kikazi Dar,siku aliyotakiwa kurudi alimpigia mkewe simu kuwa atapitia Shinyanga kwenye semina itakayochukua siku mbili,lakini alipofika Shinyanga akapewa taarifa kuwa semina imeahirishwa,ikabidi ageuze kurudi Tabora,alipofika Nzega akakumbuka hajamjulisha mkewe dharula iliyojitokeza,akaamua kumpigia mkewe simu,lakini ikawa haipatikani,alifanya hivyo mara kadhaa bila mafanikio,akaamua aende tu,kabla ya kufika nyumbani akamkuta mkewe akifanya ngono na kijana ambae anaishi jirani na pale.Ulitokea mtafaruku watu wenye busara wakalizima zogo lile.Yule bwana akasema hamuitaji mkewe,ila wakashauriwa waende kanisani kutatua mzozo kwani walikua ni watu wazima!Kweli walienda ndipo mkewe yule bwana alipofunguka na kudai mumewe amekua hampi haki ya ndoa na kama akimpa ni mara moja kwa wiki mbili na hata hiyo mara moja siyo ya kuridhisha,alipoulizwa mumewe alikubali lakini akadai ni ubize kazini ndo chanzo!Bahati nzuri padri aliwaelesha makosa yao wakaombana msamaha yakaisha.Sasa huyu mwanamke ana makosa?Inawezekana alikosea kufanyia home lakini chanzo cha tatizo ni mumewe!So kucheat kwingine kuna mashiko!

Kwenye hiyo nyekundu sijaelewa kabisaaaa..alimkuta wapi huyo mkewe?

Kama mke anajitetea kuwa alikuwa hatimimizi unyumba, hilo aliwahi kueleza kwa mumewe au padri kabla ya kutoka nje ya ndoa? Kutoka nje ya ndioa yako ndio suluhu ya kutimimiziwa tendo la ndoa? huoni mke huyo ni hatari kwani anaweza kuleta UKIMWI ukainagamiza familia yote ndani ya nyumba?
 
Back
Top Bottom