kibella24
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 677
- 158
Kwa hali yakawaida tunaweza kusema ni nitabia yake tu na ndo asili yake, yaani huyo ni PK tu ( Pasua Kichwa tu)! anakoelekea anaweza hata kumpa mtu sumu arithi hizo mali. Mwanamke wa jinsi hiyo hafai kabisa hata kumtazama tu.Huo ni mtazamo tu!!
LAKINI KWA UPANDE MWINGINE some times huenda ni PEPO limemuingingia na linataka livunje ndoa yake!!Mbona hapo awali huyo mwanamke hakuwa hivyo hata kama yalikuwa mapenzi ya mbali( siamini sn kwenye ile filosofia ya kuwa eti mwanamke huficha tabia kabla ya ndoa, akishaolewa anaonyesha kucha zake, to me thats not true. MWANAUME MAKINI lazima ajue tabia za mke wake mtarajiwa kwakiasi kikubwa kwa jinsi/njia yeyote ile na kwa gharama yeyote ile kabla hajafanya maamuzi ya mwisho kabisa ya kumuoa binti husika. YES tofauti zipo na hazina budi kuwepo kwakuwa nyie sio ndugu na hata ndugu nao wanatofauti zao nyingi tu ikiwemo tabia). UKIMUOA AU KUOLEWA NAYE MAANA YAKE UMEMKUBALI JINSI ALIVYO NA UKO TAYARI KUMCHUKULIA ALIVYO NA KUMVUMILIA!!! Waswahili wanasema NIHERI KUKOSEA KUJENGA NYUMBA KULIKO KUKOSEA KUOA MKE!!!( pia ni heri kukosea kujenga nyumba kuliko kukosea kuchagua mwanaume sahihi wakukuoa)!KABLA YA KUOA AU KUOLEWA MWAMBIE MUNGU AKUPE MTU SAHIHI!!!Laasivyo jiandae kwa MAJUTO!!
SWALI LANGU KWAKO MLETA MAADA: Je jamaa keshaenda kwenye maombi????if bado Mshauri aende na AZAME kwenye maombi kumwombea mke wake. YES nakubali tabia za huyo mke wake kwa sasa ni mbaya, zinauma, zinaudhi na hazichukuliki, ILA kama anampenda atamvumilia pia wakati maombi yanaendelea. To me: KUACHANA SIO SULUHISHO KABISAAAA sna sana inaweza kuleta matatizo mengine ya kifamilia ikiwemo mtoto wao kuwa wa kitaaa!!Lakini pia unaweza kuta tatizo liko kwa husband wake wa sasa, huyo bidada kwa mfano akaolewa tena na kidume mwingine ambaye unaweza kuta hata gari hana anaishi kwenye nyumba ya kupanga tu, mwanamke akatulia tuliiiiiii, wakifurahia maisha na mume wake hata kama cku nyingine wanashinda na kulala njaaa!! HIVYO, ni vema WOTE waendelee katika maombi na sala wakichukuliana, kusameheana na kuombeana!!,
TUKUMBUKE kuwa NDOA ni TAASISI TAKATIFU inayopitia majaribu makubwa na mikasa ya kila aina kila kukicha na lengo la shetani ni kuiharibu na kuisambaratisga kabisa taasisi hii kwani ndio chanzo cha mambo mengi mema, ikiwemo baraka, undugu, urafiki, upendo, amani, furaha, tumaini na NDOA ndizo chanzo cha familia ambazo ndio mwanzo wa kusanyiko la madhehebu na dini mbali mbali kama UKRISTO( Makanisani) au UISLAMU( Misikitini) zote hizi huanzia kwenye familia ambazo ni matunda ya ndoa. SHETANI HAPENDI KABISA HATA KUCKIA KITU KINAITWA NDOA!! Naamini kabisa MUNGU yupo,anaona na anasikia, kwa muda wake ataitembelea ndoa hiyo na kuiponya!!! najua pia atazitembelea ndoa nyingine nyingi zenye matatizo kama haya au yanayofanana na haya au zenye matatizo makubwa zaidi ya haya!!
NDUGU tusikate tamaa kutokana na matatizo haya ya ndoa, yanayofanana na ya huyo ndugu yetu au zaidi ya hayo. MLIOA na KUOLEWA kazeni mwendo SAFARI BADO NI NDEFU, na ambao bado HAMJAOA au KUOLEWA, msiogope, hii ni sehemu tu ya changamoto za maisha, hata wazazi wenu wamezipitia. UKIKUBALI KUOA/KUOLEWA KUBALI PIA CHANGAMOTO ZA NDOA!!! KWAPAMOJA TUKAZE BUTI KWANI MAPAMBANO YANAENDELEA!!!!
NAWASILISHA!!!!!
LAKINI KWA UPANDE MWINGINE some times huenda ni PEPO limemuingingia na linataka livunje ndoa yake!!Mbona hapo awali huyo mwanamke hakuwa hivyo hata kama yalikuwa mapenzi ya mbali( siamini sn kwenye ile filosofia ya kuwa eti mwanamke huficha tabia kabla ya ndoa, akishaolewa anaonyesha kucha zake, to me thats not true. MWANAUME MAKINI lazima ajue tabia za mke wake mtarajiwa kwakiasi kikubwa kwa jinsi/njia yeyote ile na kwa gharama yeyote ile kabla hajafanya maamuzi ya mwisho kabisa ya kumuoa binti husika. YES tofauti zipo na hazina budi kuwepo kwakuwa nyie sio ndugu na hata ndugu nao wanatofauti zao nyingi tu ikiwemo tabia). UKIMUOA AU KUOLEWA NAYE MAANA YAKE UMEMKUBALI JINSI ALIVYO NA UKO TAYARI KUMCHUKULIA ALIVYO NA KUMVUMILIA!!! Waswahili wanasema NIHERI KUKOSEA KUJENGA NYUMBA KULIKO KUKOSEA KUOA MKE!!!( pia ni heri kukosea kujenga nyumba kuliko kukosea kuchagua mwanaume sahihi wakukuoa)!KABLA YA KUOA AU KUOLEWA MWAMBIE MUNGU AKUPE MTU SAHIHI!!!Laasivyo jiandae kwa MAJUTO!!
SWALI LANGU KWAKO MLETA MAADA: Je jamaa keshaenda kwenye maombi????if bado Mshauri aende na AZAME kwenye maombi kumwombea mke wake. YES nakubali tabia za huyo mke wake kwa sasa ni mbaya, zinauma, zinaudhi na hazichukuliki, ILA kama anampenda atamvumilia pia wakati maombi yanaendelea. To me: KUACHANA SIO SULUHISHO KABISAAAA sna sana inaweza kuleta matatizo mengine ya kifamilia ikiwemo mtoto wao kuwa wa kitaaa!!Lakini pia unaweza kuta tatizo liko kwa husband wake wa sasa, huyo bidada kwa mfano akaolewa tena na kidume mwingine ambaye unaweza kuta hata gari hana anaishi kwenye nyumba ya kupanga tu, mwanamke akatulia tuliiiiiii, wakifurahia maisha na mume wake hata kama cku nyingine wanashinda na kulala njaaa!! HIVYO, ni vema WOTE waendelee katika maombi na sala wakichukuliana, kusameheana na kuombeana!!,
TUKUMBUKE kuwa NDOA ni TAASISI TAKATIFU inayopitia majaribu makubwa na mikasa ya kila aina kila kukicha na lengo la shetani ni kuiharibu na kuisambaratisga kabisa taasisi hii kwani ndio chanzo cha mambo mengi mema, ikiwemo baraka, undugu, urafiki, upendo, amani, furaha, tumaini na NDOA ndizo chanzo cha familia ambazo ndio mwanzo wa kusanyiko la madhehebu na dini mbali mbali kama UKRISTO( Makanisani) au UISLAMU( Misikitini) zote hizi huanzia kwenye familia ambazo ni matunda ya ndoa. SHETANI HAPENDI KABISA HATA KUCKIA KITU KINAITWA NDOA!! Naamini kabisa MUNGU yupo,anaona na anasikia, kwa muda wake ataitembelea ndoa hiyo na kuiponya!!! najua pia atazitembelea ndoa nyingine nyingi zenye matatizo kama haya au yanayofanana na haya au zenye matatizo makubwa zaidi ya haya!!
NDUGU tusikate tamaa kutokana na matatizo haya ya ndoa, yanayofanana na ya huyo ndugu yetu au zaidi ya hayo. MLIOA na KUOLEWA kazeni mwendo SAFARI BADO NI NDEFU, na ambao bado HAMJAOA au KUOLEWA, msiogope, hii ni sehemu tu ya changamoto za maisha, hata wazazi wenu wamezipitia. UKIKUBALI KUOA/KUOLEWA KUBALI PIA CHANGAMOTO ZA NDOA!!! KWAPAMOJA TUKAZE BUTI KWANI MAPAMBANO YANAENDELEA!!!!
NAWASILISHA!!!!!