Mwanamke huyu tumueleweje

Mwanamke huyu tumueleweje

Lakin nyinyi wanaume huwa mnakosea sana kwenye kuchagua,na make mkijua wanawake hupenda kupima imani wanaume kuwa imani yako iko wapi na ukimpa tu nafas imekula kwako yatakukuta haya,hapo cha msing mume achukue nafas yake kama baba wa familia aongee na mkewe kwa kilefu kuhusu mambo asio ya penda kwa mkewe.asipo kubali kosa achana nae wanawake wapo wengi sana.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Mie naona huyo mwanaume amezidi kuwa mpole

kwanza abadilike ashike nafasi yake kama mwanaume pili wakae wayazungumze tatu sitisha huduma zote isipokuwa chakula .
 
mwanamke anajua kuwa jamaa kakwama kwake ndio maana vitimbi pia hana upendo kwa huyo mwanaume angempenda angemthamini na kumheshimu
Kuna mambo mengine ni kichefu chefu hasa pale mwanamke anapopata mwanaume anajielewa halafu yeye anafanya mambo ya kipuuzi
 
Mbona naona kama Shigongo at work
Kahntwe kuna wanawake ni maumivu ya kichwa mpaka unajiuliza huyu mtu anafikiri kwa kutumia nini kwanini asitulie tuu mbona ana familia bora mume mzuri anaye jiheshimu lakini unakuta mwanamke ni waluwalu hatari! ndo akama huyo dada kazoea ukimanga maisha ya kubanwa hayawezi na pia hataki hata kuiseti akili kuwa maisha yamebadilika status yake ni mke wa mtu fulani sasa .
 
Huyo mwanamke hampendi mumewe,ndio maana analilia kurudi kwao,anaona kuishi na huyo mwanaume ni mzigo mkubwa.....sio drama queen tu bt she also doesnt love him....ON TO THE NEXT ONE
 
Kahntwe kuna wanawake ni maumivu ya kichwa mpaka unajiuliza huyu mtu anafikiri kwa kutumia nini kwanini asitulie tuu mbona ana familia bora mume mzuri anaye jiheshimu lakini unakuta mwanamke ni waluwalu hatari! ndo akama huyo dada kazoea ukimanga maisha ya kubanwa hayawezi na pia hataki hata kuiseti akili kuwa maisha yamebadilika status yake ni mke wa mtu fulani sasa .

Aisee mi ningepata mume wa hivyo ningempenda hadi aone kero.....mtoa mada niunganishe na huyo bwana walau niwe mchepuko tu...
 
Aisee mi ningepata mume wa hivyo ningempenda hadi aone kero.....mtoa mada niunganishe na huyo bwana walau niwe mchepuko tu...

Yaani khantwe!upele humpata asiye na kucha
 
Mume anaonekana ni dhaifu!makosa yote hayo aliyofanya mwanamke then dume ndo linaomba msamaha....acha avutwe masikio?
 
Jaman hili nalo la kuuliza?? Kwan moyo wake unaaman kuendelea kuishi na mwanamke kama huyu?

Unataka kutuambia kuwa huyo jamaa ameshindwa kabisa nn afanye kwa mwanamke wa aina hyo??

Hata mm siamini aisee
 
Huyo mwanamke hampendi mumewe,ndio maana analilia kurudi kwao,anaona kuishi na huyo mwanaume ni mzigo mkubwa.....sio drama queen tu bt she also doesnt love him....ON TO THE NEXT ONE
Mkuu kuishi na mtu ambaye huna hisia nae ni zaidi ya mtihani maana kila analofanya hata kama zuri hauta appriciate sanasana utamuona wa hovyo sana
Dada hana upendo na huyo mwanaume kabisa ndio maana hajali hisia za mwanaume
 
Back
Top Bottom