Mwanamke huyu tumueleweje

Mwanamke huyu tumueleweje

simlaumu huyo dada ila namlaumu huyo mwanaume,amekaa muda gani na huyo msichana kwenye uhusiano mpaka kumjua na kumzoea?aliisoma tabia ya huyo mdada au ndo mambo ya kukutana club na mnaamini things will be well?mwambie jamaa akae chini then ampe ukwel wote huyo mdada,hata kama itakua ngumu na mdada ataumia ila ukweli lazima usikike bila kufichka,namuomba huyo kaka ampe ukwel huyo mke wake na hata kama dada akitishia then jamaa atake action ya kusema sio unaondoka na anawapigia wazaz wa huyo dada na kuwaambia kua mtoto wenu anataka kuja kwenu kwa sabab nimemuambia kuhusu jambo hili na hili na kuna kisa kama hichi kiliwahi tokea Tanga na baba mtu alimtetea sana mwanaume na kumuambia mtoto wake wa kike kua ikitokea tena usirud hapa nyumbani na ikabd mdada abadilike
 
Guys si kazi rahisi kuacha mwanamke kwa mtu anaye jua thamani yake, ndoa na hasa maslahi ya watoto. It is just very difficult, nyie acheni tu usiombe yamkute hata mtu wa karibu yako.
 
Olewa ili uone utamu/chungu ya ndoa.

Ukizubaa huyo rafiki wa kakako anakufanya mchepuko.
 
Guys si kazi rahisi kuacha mwanamke kwa mtu anaye jua thamani yake, ndoa na hasa maslahi ya watoto. It is just very difficult, nyie acheni tu usiombe yamkute hata mtu wa karibu yako.

ugumu unautengeneza wenyewe... baba atoe huduma za mtoto kama kawaida aendelee na maisha mengine... huo mda wa kukaa kuwaza nitakutana na kituko gani nyumbani... mda huo huo angeweza tumia kufikiria mambo ya maendeleo..... dont waste time to handle things ambazo mtu kaamua kufanya... pale ni influence ya mwanamke mwenyewe kaamua na akili zake ... ingekuwa ni nature , economc, diseases hapo sawa tungeshauri kingine...
 
Jaman hili nalo la kuuliza?? Kwan moyo wake unaaman kuendelea kuishi na mwanamke kama huyu?

Unataka kutuambia kuwa huyo jamaa ameshindwa kabisa nn afanye kwa mwanamke wa aina hyo??
Makomana Huyo kaka bado hajaamua kitu kingine bado zaidi ya kujaribu kujitahidi labda huyo dada atabadilika, lakini kila kukicha ni zaidi ya jana, yani ananuna mwanzo mwisho hapendi ndugu za mume hapendi mume aongee hata na ndugu zake mwanamke yani mradi shida tu, mume akirudi sambili usiku basi na anajua wazi foleni na yeye pia ni muajiriwa basi ikitokea afike wa kwanza home basi ni mnuno week, akifika mume wa kwanza hata salam hamsalimii mpaka tukamwambia labda hakukupenda kwakua ni graduate basi ukaona ndo mke wa kuoa mmh
 
huyu kaka amwache tu ili ajifunze ila ahakikishe matumizi ya mtoto anampa huyo mtoto that all .... ndoa isiwe kero au ugonjwa ya nini kumlazimisha mtu kujiheshimu ... ili limwanamke pumbafu kabisa jinga sana....... unaamua kuamsha timbirwi tu ndani ya nyumba kuna binadamu uwepo wao wa kufikiri mfupi mno/..... kama hajui mapenzi alikubali ya nini kuolewa nae ...
Nilimtania jamaa nikamwambia au kakaangu sita kwa sita hujatulia akacheka tu akasema kwanini hakuliona hilo kwenye uchumba alione akiwa ndani? na mpaka kuzaa basi tu ana kero ambazo hata nashindwa nifanyeje hhh hapo nikakosa cha kusema kwakweli anadai wakwe walimletea sawadi na za mtoto wacha amtukane mume wake mi zawadi gani hii hapa ndo wameona zawadi hizi wacha awanunie week nzima mpaka wakaondoka
 
ugumu unautengeneza wenyewe... baba atoe huduma za mtoto kama kawaida aendelee na maisha mengine... huo mda wa kukaa kuwaza nitakutana na kituko gani nyumbani... mda huo huo angeweza tumia kufikiria mambo ya maendeleo..... dont waste time to handle things ambazo mtu kaamua kufanya... pale ni influence ya mwanamke mwenyewe kaamua na akili zake ... ingekuwa ni nature , economc, diseases hapo sawa tungeshauri kingine...
You are correct but hii kitu inaitwa ndoa has a lot of problems. Ndo mana ni wachache sana huweza kusema kwangu pametulia, kiafrika ndoa ni zaidi ya upendo bali wajibu wa kijamii. Ndo mana kukiwa na tatizo ndoani utashauriwa vumilia tu ndo maisha yanataka hivyo.
 
Jamaa mpole ndo maana anachezewa atoe kichapo ila asiumize heshima itarudi unajua wanawake ni kama watoto mpaka umshi2e kidogo
 
Embu nipe hints, nianzie wapi?

uangalie ubora wa jiko je litadumu kama la kuota kutu mapema achana nalo pili uchukue jiko kulingana na hali ya uchumi wako usitake jiko la gesi wakati uwezo wako ni mkaa utasaidiwa nne uchukue jiko linalokufiti sio kubwa wala dogo chungu kienee sawa sawa sio wakati wa kupika uanze kulalamika ohoo jiko kubwa mara dogo uanze kutamani la jirani yako big no tano uchukue jiko litakalowaridhisha wana familia pia maana ukiwabeza kwenye uchaguaji siku likigoma hawatakusaidia kulirekebisha ni hayo tu lol
 
Khaa mijanamke mingine inatia hasira !!

Wacha kabisa munkari, jamaa alikua na afya yake ya kutosha ukimuona alivyo konda maskini halafu anampenda kweli mkewe ila dada sasa uuuh hata sijui anawaza nini
 
Nilimtania jamaa nikamwambia au kakaangu sita kwa sita hujatulia akacheka tu akasema kwanini hakuliona hilo kwenye uchumba alione akiwa ndani? na mpaka kuzaa basi tu ana kero ambazo hata nashindwa nifanyeje hhh hapo nikakosa cha kusema kwakweli anadai wakwe walimletea sawadi na za mtoto wacha amtukane mume wake mi zawadi gani hii hapa ndo wameona zawadi hizi wacha awanunie week nzima mpaka wakaondoka

huyo si mwanamke ni shida .... mwambie kaka yako amwmbie rafiki yake kuwa amwachie hiyo nyumba yeye aondoke akatafute makazi mengine.... jamani sina maana mbaya ila nina maana ili future ya huyo mtoto isipoteee ni bora hata hati ya nyumba ikawa kwa jina la mtoto na kadi ya gari kwa jina la mtoto hapo mama hana chake owner ni mtoto ... mama anakula kupitia mtoto... baba atoe matumizi ya mtoto ya mwezi , malazi kila kitu hata atakapo anza shule iwe hivyo.....na kama Mungu akimpenda zaidi mtoto basi baba anauwezo wa kuamua kumfukuza ndani ya himaya yake
 
Olewa ili uone utamu/chungu ya ndoa.

Ukizubaa huyo rafiki wa kakako anakufanya mchepuko.

Naheshim wazo lako Kongosho kwani ndo mwisho wako wa kufikiri asante kwa ushauri japo ni mgando
 
Back
Top Bottom