UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
- Thread starter
- #21
mmarangu! kafanya nn? labda kikwenukwenu kwani wamarangu tuko poa saaaaaana
siyo mmarangu in MTU Wa pwani
mmarangu! kafanya nn? labda kikwenukwenu kwani wamarangu tuko poa saaaaaana
Mkeo anakupa jamba jamba sana wewe kama.hakuweki mjini sijui tu....
Mkeo anakupa jamba jamba sana wewe kama.hakuweki mjini sijui tu....
Mvumilie tu kwani ndivyo walivyo wanawake wa karne hii.........
Mimi ndio tegemeo lake na hata mshahara Wang ni Mara Tatu Wakwakwe
Eeeh basi sawa, komaa nae tu
Unalipa kodi wewe halafu unatimuliwa,uf.la wa kiwango cha juu sana
Katika kitu ambacho siwez vumilia ni mwanamke mwenyematusi, kama huwezi chunga mdomo wako, ukiwa na dharau ntakupiga kisaikolojia tu.
Hii ni ndoa , na nyumba ndo inatakiwa hiwe sehem safe na yenye raha, USIJARIBU KUSEMA KUWA YEY KAMWAGA MBOGA WEW MWAGA UGALI NOPE, UTATIA DOSARI KUBWA KATIKA FAMILIA NA MAISHA YENU KIUJUMLA.
Ongea kama baba mwenye nyumba, unguruma ongea naye kwa hoja, muelimishe kipi hupendi, akizidi na asipo sikia, hebu act kiume sasa, mchape makofi mawili tu ya mgongoni, period !
Unataka kumponza mwenzio wewe
Ampige makofi ili afukuzwe kimoja kwenye nyumba, ataishi wapi???
Dada eve how
Umetumia kigezo gani kufanya hii generalization
Katika kitu ambacho siwez vumilia ni mwanamke mwenyematusi, kama huwezi chunga mdomo wako, ukiwa na dharau ntakupiga kisaikolojia tu.
Hii ni ndoa , na nyumba ndo inatakiwa hiwe sehem safe na yenye raha, USIJARIBU KUSEMA KUWA YEY KAMWAGA MBOGA WEW MWAGA UGALI NOPE, UTATIA DOSARI KUBWA KATIKA FAMILIA NA MAISHA YENU KIUJUMLA.
Ongea kama baba mwenye nyumba, unguruma ongea naye kwa hoja, muelimishe kipi hupendi, akizidi na asipo sikia, hebu act kiume sasa, mchape makofi mawili tu ya mgongoni, period !
Unataka kumponza mwenzio wewe
Ampige makofi ili afukuzwe kimoja kwenye nyumba, ataishi wapi???