UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
- Thread starter
- #41
Katika kitu ambacho siwez vumilia ni mwanamke mwenyematusi, kama huwezi chunga mdomo wako, ukiwa na dharau ntakupiga kisaikolojia tu.
Hii ni ndoa , na nyumba ndo inatakiwa hiwe sehem safe na yenye raha, USIJARIBU KUSEMA KUWA YEY KAMWAGA MBOGA WEW MWAGA UGALI NOPE, UTATIA DOSARI KUBWA KATIKA FAMILIA NA MAISHA YENU KIUJUMLA.
Ongea kama baba mwenye nyumba, unguruma ongea naye kwa hoja, muelimishe kipi hupendi, akizidi na asipo sikia, hebu act kiume sasa, mchape makofi mawili tu ya mgongoni, period !
asante