Darcityconfidential
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 351
- 367
Inadepend na mwanamke, sio kila mwanamke ana standard ya hotel, wengine lodge tuu 😂Hapo unakuwa umemtongoza kwa vitendo chief...
you act in a very gentle way.....
kuna type za viumbe hawa huwa hawachomoi ukiwapa special treatment kama hizo....
ie mpeleke hoteli kali unakula mzigo.....
hapo unakuwa umeenda taratibu.....
tofauti ungemchukua uende naye guest moja kwa moja.....
ungeweza chomolewa

