Loooh... Wewe
Msweet We una dhambi sana wewe! 😂
Eti wanakula raha kama familia.. wakati unajua fika kabisa hapo anaekula raha ni huyo besti yako baada ya kukitembeza kwa wanaume kama wote hapo mjini na kuona hakuna hata mwenye mpango wa kuoa ndio mkashauriana mumuangushie jumba bovu kijana wa watu..!! Wanawake wabaya nyinyi..!!
Hapo mkikutana mnacheeeeka na kugongesha mikono baada ya mpango wenu wa kifedhuli kufanikiwa..😃 Na najua wewe ulishiriki kwa kiasi kikubwa kwenye kumshauri huyo beste ako.
Hakuna mwanamke anaekupenda anaeweza kukuzungusha miaka 8. Yaani mimi namuonea huruma sana huyo kijana kwakweli, maana anaonekana ni kijana mpole na mstaarabu hakustahili kabisa janga hilo. Unless umshauri huyo besti ako atulie kwenye ndoa maana kama ni kuhangaika ameshahangaika cha kutosha.