Yani nimwandikie sms ya kwanza asijibu ya pili pia asijibu na yatatu!! Mwe! Hapo huwa najiuliza hivi kwanini naishi..??

Kama jibu likatoka halafu yeye akawa hana umuhimu ktk kulijibu swali kwanini naishi,Basi swali litakalofuata ni kwanini nina namba ya huyu mwanamke asietaka kunijibu!!


Hapo jua anguko lake litaishia kwenye delete..
Sijui kwanini huwa nakuwa na kibuli mbele ya watu wasio na interest namimi nitatafuta sababu kichwani yenye logic mpk nimdelete tu maana ukiniona si lolote nakuona si chochote.