Mwanamke hutongozwa taratibu

Mwanamke hutongozwa taratibu

secret file

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2019
Posts
5,839
Reaction score
8,647
Wakuu habari zenu.

Leo nimeamua niweke darasa kidogo hasa kwa wale jamaa zangu wenye midomo mizito kutongoza. Wenye kutongoza haraka haraka na kuishia kupigwa kibuti hasa kwa yule mwanamke wampendaye (sizungumzii changudoa hapa)

Awali ya yote niweke wazi kwamba wanawake karibu wote tabia hufanana (hesabu zangu nimeweka vizuri hapa (almost but not all) wanawake huvutiwa na mwanaume anayejali, mpole na ambaye hutongoza taratibu.

Unaweza ukawa na pesa still ukitongoza bado wanakupiga chini na pesa zako. Silaha ni hii tongoza mwanamke taratibu usiende haraka haraka nyata usijikweze hata kama una mali muache azione mwenyewe in the due course. Kuwa kama unatongoza, unapotezea kupima upepo unasikilizia reaction/muitikio.

Ukiona muitikio upo positive ya kwamba mwanamke ana reply hata kwa mbali tu, iwe kwenye mazungumzo ya ana kwa ana ama simu, jua huyo ni wako. Ukiona response ni almost zero, kimbia huyo sio type yako.

Kwa wale madomo zege nawajenga kisaikolojia hapa kwa mifano. Kamwe usiogope mwanamke. Hawa tulipewa watusaidie majukumu. Ona kama vile ni shamba lako la kuku unaangalia mchana uchinje jogoo ama mtetea, siyo usione aibu.

Zingatia yafuatayo kamwe usitongoze mwanafunzi; pili, msisahau kinga, hasa kipindi hiki cha Covid 19.

Wajuvi wengine mnaweza ku-add chochote.

Angalizo: Hili ni jukwaa la hoja mchanganyiko.

I think I retain the right to make a decision whether this thread should be directed to JamiiForums mapenzi ama hapa.
 
😂 Sasa na huyo mwanamke bila pesa si kila siku utakuwa unaleta nyuzi mpya kulalamika kuchapiwa tu mzee, viuno peke ake havitoshi kumtuliza mwanamke, mtafute pesa vijana, nyuzi za kujiliza liza kuchapiwa tushazichoka humu.
Hapa mchawi ni vyote ndio maana nimesema unaweza kuwa na pesa bado ukahangaishwa..
kuna wana wa eva wa ajabu sana....
hawaangalii pesa tu...
 

Attachments

  • IMG-20200405-WA0011.jpg
    IMG-20200405-WA0011.jpg
    60.2 KB · Views: 16
Siku hizi hakuna kutongozana, mnaenda out, you provide a special treat then mambo yanajiset, huwa wanauliza baada ya show “hivi unanipenda?” Jibu siku zote huwa ni “Ndio”
Hapo unakuwa umemtongoza kwa vitendo chief...
you act in a very gentle way.....

kuna type za viumbe hawa huwa hawachomoi ukiwapa special treatment kama hizo....
ie mpeleke hoteli kali unakula mzigo.....
hapo unakuwa umeenda taratibu.....
tofauti ungemchukua uende naye guest moja kwa moja.....
ungeweza chomolewa
 
Back
Top Bottom