Mwanamke hawezi akanirudishia, akithubutu kitawaka...

Mwanamke hawezi akanirudishia, akithubutu kitawaka...

Old is gold lakini sio kwa hii. Kwanza kwa nguvu yenye niko nayo nikimchapa mke wangu hata kofi tu kuna hatihati akafa kbs.

Sina sababu ya maana saaana ya kufanya hivo.

Tandika mkeo mborrro ya maana sana ,automatically atakuheshimu mno!
 
Harusiwi kunijibu ama kunirudishia akidhubutu mbata na hakuna chenye atafanya sinimelipa mahari ya milioni 3 nimemnua
Mkuu; Ulioa mwaka gani? yan umeishi na huyo mke wako kwa muda gani?
Hayo mahari m3 uliyolipa na unayojivunia eti kwa mahari hayo umemnunua unayo Risiti halali ya manunuzi hayo?
Kiustaarabu na kwa heshima na kwa kuzingatia Mila na Desturi zetu Afrika; mke wako hategemewi kukurudishia kichapo na vivyo hivyo mwanaume hategemewi kumfanya mke wake ndo punching bag lake .
Lakini endapo kama ww mwanaume "ukivuka viwango" hakika mke wako akiamua ujue hakuna rangi utaacha kuona. Zipo njia nyingi sana ambazo anaweza kuzitumia kukufunza adabu.
 
Mwanaume tembeza kibano usiwedhaifu
Imani potofu kabisa hiyo - Haifai kabisa-inadhalilisha. Suluhisho sahihi la migogoro ndani ya ndoa sio kipigo bali ni kwa kuanza majadiliano baina yenu wanandoa ikishindikana mnaendelea ngazi ya juu zaidi na sio eti kutembeza kibano. Kwa kutembeza kibano unaweza kujikuta pabaya zaidi. Kwa mafnoi Huku Umasaini; wenyewe Wamaasai wanaita "Njiphyi-chiphyi" (wanatumia Fimbo ya mti wa mkole isiyovunjika) kumcharaza sana mwanamke (Mke asiye msikivu au mtiifu kwa mumewe) lakini mwisho wa siku mwanamke aliyechapwa (Kwa kweli huwa anakuwa amejeruhiwa sana) anakwenda kushitaki na "kidume" pamoja na "waliomsaidia" wanafungwa gerezani.
 
Back
Top Bottom